Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,525
- 1,523
Mheshimiwa Rais Kikwete,
Ombi rasmi mkuu. Unapounda baraza lako jipya, tuachie wale Wabunge wetu maarufu kama bakibencha. Usiwa-Bangusilo na kuwapa Uwaziri.
Twaomba wafuatao wasiwemo katika baraza lako jipya: Anna Kilango, Harrison Mwakyembe, Lucas Seleli, Manyanga, Zitto, Slaa na wengine ambao wameonekana kuisulubu Serikali!
Mimi Raia Mkosoaji wa Serikali yako,
Ombi rasmi mkuu. Unapounda baraza lako jipya, tuachie wale Wabunge wetu maarufu kama bakibencha. Usiwa-Bangusilo na kuwapa Uwaziri.
Twaomba wafuatao wasiwemo katika baraza lako jipya: Anna Kilango, Harrison Mwakyembe, Lucas Seleli, Manyanga, Zitto, Slaa na wengine ambao wameonekana kuisulubu Serikali!
Mimi Raia Mkosoaji wa Serikali yako,