Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

CCM imeshindwa kukomboa makontena mengi yenye khanga, tshirt, vitambaa, kofia na mabango. Baada ya TRA kukataa katakata kuyatoa hadi yalipiwe kodi. Kila mkoa ulipangiwa kupewa makontena mawili ya...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Chadema kimesema kitaishangaza dunia kutokana na matokeo ya kura za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, mwaka huu kwa kushinda kwa kishindo katika nafasi zote. Aidha, chama hicho kimesema kinatarajia...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Wote mnaelewa kwamba kwa sasa JK HAFANYI KAMPENI, bali anafanya ziara, akielezea nini "serikali yake" imefanya kwa muda wa miaka tano. Baada ya kuondoka, kilichojiri ni .... Polisi watishia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
JK na watu wa sirikali yako esp. CCM, mbona mkija huku ughaibuni mnaishia DC tu na tukiwaalika mje Houston, mnakacha. Lakini mkialikwa Minneapolis, NY, CA etc mnaenda. Tumeujulisha ubalozi wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Picha na maelezo kwa Hisani ya blog za Michuzi na Michuzi Jr: Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dr. Willbrod Slaa akizungumza leo jioni wakati wa uzinduzi wa...
0 Reactions
42 Replies
11K Views
Kulingana na precursors zilizoanza, Uchaguzi Mkuu 2010 Tanzania utakuwa wa vituko, kama sio ugomvi wa kumwaga damu! I am not an alarmist; just a peacemaker/keeper!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu. Sasa huku tukiwa tunaelekea kwenye uchaguzi wa 2010 sio vibaya tukipitia matokeo hasa ya ngazi ya Urais ya mwaka 2000/2005, ningependa mtu mwenye takwimu za matokeo (kura)...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Kwa tafakari yangu August 2010 huu ni mwezi maalum sana kwa wana JF wote, kwani nadhani ndiyo mwezi ambao wanachama wapya wengi walijiandikisha na karibu asilimia kubwa ya wanachama hao wanaitetea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM,Dk. Bilal akizungumza na wanachi wa Wilaya ya Nanyumbu baada ya kuingia mpakani mwa wilaya hiyo na Masasi
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mimi Diana na watanzania wengi tunataka kumpa kura Dr. Slaa oct.2010 lakini najiuliza nikimpa atatawala vipi huku wabunge wengi watatoka CCM? sitaki kuichezea kura yangu na watu wengi wanajiuliza...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Opinions as to why Presidents Jakaya Kikwete shouldn’t be accused of breaking the Election Expenses Act by announcing the status of the decision of the Government to increase the salaries of its...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kumekucha.......Tazama attachment
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Send to a friend Monday, 30 August 2010 09:08 Daniel Mjema, Moshi MGOMBEA ubunge Jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya Chadema, Philemon Ndesamburo jana alizindua kampeni zake huku chama hicho...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hili wimbi la wakongwe wa CCM kuhamia upinzani kipindi hiki..then mnawachekea..kitalia kitu mtashangaa!!!!!!Mnategemea nini hapo?..CCM are just very smart, wanacheza na Human Psychology..Hivi...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
SIKU moja baada ya Chadema kutangaza nia ya kumwekea pingamizi mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete, chama hicho tawala kimesema kuwa kinajipanga kumwokoa mgombea wake dhidi ya hoja za kutaka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mjini Mbozi tukio la mgombea ubunge kuzomewa lilimkumba Dk Lucas Siyame baada ya kuitwa jukwaani na Kikwete ili awasalimie wananchi baada ya kumaliza hotuba yake fupi kutokana na kuwa na mkutano...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
CUF si chama cha promotion kama vile bidhaa mpya. "Ni chama ambacho kimejikita vema hadi vijijini... hata katika uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya CCM ni CUF. Ni chama ambacho mgombea urais...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kila ninapojaribu kufuatilia mwenendo wa kampeni wa mgombea wa chama kilichokuwa kikitutawala nimekuwa nikitamani kusikia jambo moja kubwa. Kimsingi hali halisi ya maisha hapa Tanzania sio nzuri...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 29th July 2010 BARAZA la Habari la Kiislamu Tanzania (Bahakita), limesema katika siku 14 lilizotoa kwa CCM na kufanya uchunguzi, limebaini kuwa Serikali ya...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Hali ya kisiasa kwa CCM jimboni Bukombe ni ngumu sana. Prof Kahigi Mgombea wa CHADEMA anakubalika kuliko maelezo, bendera na vipeperushi vya CCM vimetolewa na kuchomwa moto! Wananchi wamekataa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Back
Top Bottom