Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,763
- 40,990
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bw. Chacha Wangwe amedai kuwa kama angepata nafsi ya kumpa ushauri Rais basi angemshauri Rais "avunje bunge ili sote turudi kwa wananchi na kuwapa wananchi nafasi ya kuchagua upya viongozi wao". Sasa miye najiuliza, hivi Wangwe anafikiri Rais anaweza kukurupuka tu na kuvunja Bunge? Jamani someni Katiba mnajidhalilisha!