hawa ndio wapinzani wanaotaka tuwapishe waongoze nchi.
wapinzani bado hawajawa tayari kupewa dhamana kubwa kama hiyo. si suala la kujaribu tukifanya mchezo tutafika walipofika wenzetu kwani wao walikuwa makini zaidi kuliko hawa.
ila kwa sasa kuchagua machafuko kuwapa urais upinzani
Nadhani tumeeaca Hoja ya msingi na sasa tumeingia katika mtego wa ushabiki wa vyama.Awapishe waongoze nchi akina nani? kwani katiba ya Tz inasema nchi iataongozwa na nani?
Nasikitika tunapoleta ushabiki wa vyama kama ambvyo wabunge wetu wameacha kueleza namna amabavyo Pinda ataisaidia nchi wamekazana amelelewa na chama. Lakini si hata hao tunaowaondoa walilelewa na chama?
alafu Hoja hizi zilizotumika kuwadanganya watanzania kuwa kuchagua upinzani ni kuchagua machafuko zimepitwa na wakati. Labda mchangaiaji alete Mifano hai na uthibitisho ni vipi itakuwa macahafuko?
Swala la nchi Jirani wote tunaelewa lina elemnt nyingi, ambazo ni ukabila toka enzi za ukoloni, mgawanyo wa njia za uchumi, Ubadhirifu uliokuwa umekithiri toka enzi Kanu.
Nadhani tuwe tunajadili faida na hasara za kuvunja Bunge ili watu wajifunze hapa, wapate mwanga, tupate kuelewa tunaoanza leo siasa.