Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wananchi wagomea mkutano wa DC Source: Tanzania Daima na Ahmed Makongo, Magu WANANCHI wa Kijiji cha Yichobela, Kata ya Nyigogo, wilayani Magu, Mwanza, mwishoni mwa wiki waligoma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bw. Chacha Wangwe amedai kuwa kama angepata nafsi ya kumpa ushauri Rais basi angemshauri Rais "avunje bunge ili sote turudi kwa wananchi na kuwapa wananchi nafasi ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mheshimiwa Rais Kikwete, Ombi rasmi mkuu. Unapounda baraza lako jipya, tuachie wale Wabunge wetu maarufu kama bakibencha. Usiwa-Bangusilo na kuwapa Uwaziri. Twaomba wafuatao wasiwemo katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
..ndugu zangu wakati wa sakata la ripoti ya Dr.Mwakyembe likiendelea Raisi Kikwete alifanya uteuzi wa Jaji Kiongozi na Majaji wa Mahakama ya Rufaa. ..Jaji Kiongozi Amiri Manento amestaafa na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ni mtihani mzito kwa JK leo *Baraza kuibua au kuzamisha matumaini ya Watanzania Na Mwandishi Wetu RAIS Jakaya Kikwete leo anakabiliwa na mtihani mwingine mgumu katika kipindi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna nafasi tatu za kujaza, kama asipofanya recycle kuwarudisha mafisadi kwa kisingizio kwamba walijiuzulu wenyewe lakini bado 'taifa linawahitaji'. Kwa kuzingatia kwamba kamati nyingine mbili...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Kuanzia mwaka Jana yule Mungu wa maajabu , Mungu wa kutumainiwa na watoa vilio aliamua kupiga kambi rasmi hapa nyumbani kwetu Afrika Mashariki na hasa Kenya na Tanzania .Najua sababu ni wetu wetu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Posted Date::2/9/2008 Viongozi wastaafu, wapinzani wamshauri kwa Rais Kikwete Na Andrew Msechu Mwananchi RAIS Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, wameshauriwa kuhakikisha kuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapinzani wanena na Peter Nyanje, Dodoma Tanzania Daima WAKATI Rais Jakaya Kikwete akikuna kichwa kuhusiana na muundo wa Baraza la Mawaziri analotarajia kuliundwa upya, kambi ya ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima Mbele wana Bodi,Nimekaa nikifikiria ni kwanini mpaka sasa ,Mheshimiwa Yusuph Makamba ambaye ni katibu mkuu wa chama Tawala ,mpaka muda huu hajatoa tamko kuhusu Tuhuma za Ufisadi za ukweli...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
ANAONEKANA ANA UCHUNGU NA NCHI YAKE
0 Reactions
16 Replies
8K Views
  • Closed
Kuna usemi kuwa watu wa usalama wa taifa huwa hawastaafu mpaka wanapokufa. Kutokana na yanayoendelea Tanzania ambapo vyombo vya ulinzi na usalama vimehusishwa na kashfa zinazoendelea karibuni za...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
na Mwandishi Wetu JARIDA maarufu la The Economist, kwa mara nyingine tena limefanya tathmini yake kuhusu mwelekeo wa kiuchumi wa Tanzania na Serikali ya Rais Jakaya Kikwete katika kipindi cha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Pamoja na mabadiliko ya mawiziri ambayo tunayatarajia, pia mfumo wa utendaji kazi serekalini unahitaji mabadiliko makubwa. Mpaka sasa mfumo wa utendaji kazi serikalini, kwa kiasi kikubwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
JAMANI Nafikiria na kufaraki kuhusu hili sakata la aibu na uzalendo wa kifisadi dhidi ya nchi yangu na watu wake. Ni kweli kwamba sasa hata mkulima kijijini ameshagundua kwa nini gharama za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana katika kikao cha bunge, wachangia hoja waliopata nafasi waliwapongeza Lowasa, Karamagi na Msabahaa kwa uamuzi wao wa kujiuzuru. Kwa upande wangu sikuona sababu ya kuwapongeza watu ambao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
..kwa sababu imeenda kutembelea Kiwira Coal Mining inayomilikiwa na Mkapa na Daniel Yona katika mazingira ya kutatanisha basi ni lazima wawahoji Mkapa na Yona ni vipi waliweza kumiliki mgodi huo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika kufuatilia mihangaiko ya Mh.Kikwete nimeona zile safari safari zake zilikuwa na lengo la kuwapa mwanya Mawaziri na alikuwa akipima uwezo wao wa kufanya kazi bila ya kuwepo yeye...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbunge Wa Moshi Mh. Ndesamburo Ameomba Mwanasheria Mkuu Na Mkurugenzi Wa Takukuru Wawajibishwe Pia, Na Kwamba Hili Ni Dili Limefanyika Na Ameomba Hatua Za Kisheria Zichukuliwe Kwa Wahusika Wote...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ebwana eehh hapa JF kama unavyojua kama server iko chini wengine hatuna pa kwenda Nimejaribu kwenda KLH news nimeona hakuna forum sasa ushauri wangu wewe unganisha LKH news na GUMZO ili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom