Nimesoma magazeti ya leo asubuhi SPIKA 6 anatoa statements za kudai kuwa hatuna gharama tuliyoingia kwenye mkutano huu
Jambo hili sitaki kuliamini kwa sababu SPIKA 6 si mwadilifu yapotokea madili...
WAKATI Chama cha Wananchi (CUF) kimepanga kufanya maandamano makubwa kuanzia Buguruni Sheli hadi kwenye Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, msajili huyo amepiga marufuku maandamano kufika katika...
France's Economy Minister Christine Lagarde attends a session at the World Economic Forum (WEF) in Davos on January 31, 2009.
By OLIVER MATHENGE
Kenya will after all not be the first East...
Imeandikwa na Mwandishi Wetu, Arusha;
Tarehe: 29th September 2009
Habari Leo
SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, ametangaza rasmi kuwa amejitoa mhanga kupambana na ufisadi ili nchi isiangamie...
ASEMA WALIOJIPENYEZA MADARAKANI, SASA WANAUMBUKA
Daniel Mjema, Same
RAIS mstaafu, Ali Hassan Mwinyi amelipua kombora jingine kwa viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi, akisema kuwa...
Mimi kama Mtanzania nimeshidwa kuvumilia na mwendendo wa viongozi wa Serikali yangu yangu ya Tanzania kwa kutokuwa makini na kutoelewa nini maana ya uongozi, Maslahi ya mtu binafsi yamewekwa mbele...
MADA ya rushwa na ufisadi ambayo imekuwa ikivuma nchini kwa muda sasa itakuwa miongoni mwa agenda ya za Mkutano wa 55 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) unaoendelea mjini Arusha...
http://www.caribbeannetnews.com/news-19078--12-12--.html
Published on September 30, 2009
CARACAS, Venezuela (Reuters) -- Venezuela said on Tuesday that seven African nations would join it in...
Nashangaa nasikitika na sipati majibu kabisa
Hivi huwa ni akili zetu watanzania au ??
Tunaelewa kabisa huyu ni mbunge wetu whatever lakini katika kipindi chake cha miaka 5/10 or more hajafanya...
Assume we had the Federal Republic of Tanzania!
It comprises of the following Provinces:
Lake: Kagera , Mara, Mwanza and Shinyanga
Central: Dodoma,Tabora and Singida
Highland: Iringa...
MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, Inspekta Jenerali, Said Mwema amefanya ziara ya siku mbili katika Visiwa vya Unguja na Pemba kufuatia ghasia za uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura...
Kumekuwa na taarifa kutoka vyombo mbalimbali vya habari kuwa kuna Wanaccm wanaotaka kupata nafasi za uongozi hususani ubunge katika uchaguzi ujao kusambaza kadi feki za chama hicho miongoni mwa...
Kwa karibu siku kadhaa sasa nilikuwa najiuliza maswali kwamba labda Tanzania tupate kiongozi aliye mzalendo wa kweli mwenye hulka za kijamaa kidogo.. Lakini katika mawazo yangu nimekuwa najiuliza...
Sitamuonea haya fisadi hata aje na bilioni - Simba
27 September 2009
Majira
Na Gladness Theonest
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Bibi Sophia Simba amesema hatamwonea haya...
WAZIRI mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba ametahadharisha kuwa nchi inaelekea kubaya anapoangalia jinsi mambo mbalimbali yanavyoendeshwa, huku akisema kuwa serikali haitaweza kushinda vita dhidi...
Julius Samwel Magodi
RAIS Barack Obama wa Marekani, wiki hii alifanya mazungumzo na baadhi ya viongozi wa nchi za Afrika, waliokuwa wakihudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN)...
Na Sadick Mtulya
SERIKALI imetangaza rasmi kuwa kuanzia uchaguzi mkuu ujao wa Oktoba, 2010 itaanza kuchapisha nyaraka na karatasi za kura nchini kwa ajili ya uchaguzi wa rais, wabunge na...
JUMATANO watu mimacho ikawa kwenye runinga zao, hata wale TBC ni chenga siku hiyo hawakuwa na shida maana TRENET ikawa live nayo hivyo hata wale ndugu zangu walokole wasioangalia vituo vingine nao...
Umoja ni nguvu ili kuing'oa CCM,
Tatizo letu kubwa au labda niseme tatizo kubwa la vyama vya Upinzani katika juhudi za kuitoa Tanzania kwenye madhila inayoyakabili ni kwamba THEY ARE SO...
Posted Monday, September 28 2009 at 08:00
With the Obama administration having sent off Kenya for corruption and impunity, Tanzania has emerged as East Africa's star player on the US pitch.
It...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.