Elections 2010 Mabere marando kidole nyoosha lakini....

Waridi

JF-Expert Member
Mar 30, 2008
1,025
172
Mhashimiwa Mabere Nyaucho Marando!!
Unapinga mafisadi eh!
Toa kwanza boriti mkuu.

Ulipokuwa kiongozi wa NCCR-Mageuzi, enzi Mhe. George Liundi akiwa msajiri wa vyama aligundua kwamba chama chako kilikuwa kikipewa ruzuku pungufu kutokana na makosa ya kimahesabu.Akaamua kufidia upungufu huo kwa kukilipa chama taratibu kwa njia ya cheque za kila mwezi.
Wewe ulijua hili na hukufikisha taarifa katika chama, ukatumia nafasi yako na siri hiyo kutafuna mamilioni hayo ya chama kimya kimya.Wewe ni mwizi wa kawaida
Tubu basi na urejeshe fedha hizo, ili mikono na midomo yako ipate usafi wa kukuruhusu uwaseme mafisadi wenzako
 
Mhashimiwa Mabere Nyaucho Marando!!
Unapinga mafisadi eh!
Toa kwanza boriti mkuu.

Ulipokuwa kiongozi wa NCCR-Mageuzi, enzi Mhe. George Liundi akiwa msajiri wa vyama aligundua kwamba chama chako kilikuwa kikipewa ruzuku pungufu kutokana na makosa ya kimahesabu.Akaamua kufidia upungufu huo kwa kukilipa chama taratibu kwa njia ya cheque za kila mwezi.
Wewe ulijua hili na hukufikisha taarifa katika chama, ukatumia nafasi yako na siri hiyo kutafuna mamilioni hayo ya chama kimya kimya.Wewe ni mwizi wa kawaida
Tubu basi na urejeshe fedha hizo, ili mikono na midomo yako ipate usafi wa kukuruhusu uwaseme mafisadi wenzako

kwanini mpaka leo hajafikishwa mahakamani kwa kula hela ya Umma.
 
Mhashimiwa Mabere Nyaucho Marando!!
Unapinga mafisadi eh!
Toa kwanza boriti mkuu.

Ulipokuwa kiongozi wa NCCR-Mageuzi, enzi Mhe. George Liundi akiwa msajiri wa vyama aligundua kwamba chama chako kilikuwa kikipewa ruzuku pungufu kutokana na makosa ya kimahesabu.Akaamua kufidia upungufu huo kwa kukilipa chama taratibu kwa njia ya cheque za kila mwezi.
Wewe ulijua hili na hukufikisha taarifa katika chama, ukatumia nafasi yako na siri hiyo kutafuna mamilioni hayo ya chama kimya kimya.Wewe ni mwizi wa kawaida
Tubu basi na urejeshe fedha hizo, ili mikono na midomo yako ipate usafi wa kukuruhusu uwaseme mafisadi wenzako

Waulize NCCR walimalizaje hilo suala. Kitu ambacho sitakuelewa ni kwamba labda yaliyosemwa na Marando yasingesemwa kwa wakati huu tunapotaka kuchagua viongozi au wahusika hawatakiwa kuanikwa kwa kukosa uadilifu. Aliowataja ni mafisadi wanaogombea wataje mafisadi wa CHADEMA wanaogombea jamvini tuchangie. Halafu wallotajwa wote hawajakanusha vipi wewe?
 
Ada ya JF kufukua uozo, suala la kwamba yeye agombei halihalalishi wizi. Alichokwapua ni mali ya umma. NA kama NCCR nao walilimaliza 'kinyumbani' bado nao ni ufisadi ndani ya ufisadi
 
Ada ya JF kufukua uozo, suala la kwamba yeye agombei halihalalishi wizi. Alichokwapua ni mali ya umma. NA kama NCCR nao walilimaliza 'kinyumbani' bado nao ni ufisadi ndani ya ufisadi

SASA NANI ALIKUA NA JUKUMU LA KUMPELEKA MAHAKAMANI ?
Waambie ccm wenzako kwanini serikali wanayoiongoza iliogopa kumpeleka mahakamani.....
 
Kuna watu wengine hawana la kufanya kabisa. Kazi ni kuibua vitu vya ajabu kwa wale wanaoijitokeza kukemea jamii. Uungwana huu. Ndiyo, kila mmoja anapaswa kusikilizwa, lakini jamani, is this really an issue to take up with Mabere! If really there was any of those frauds with NCCR more than 10 years, why hasn't anyone raise it!? Why witch-hunting now. Huwezi hata kuficha msimamo wako! Ningekuwa ni mods ningekufuzia mbali!
 
Kaz kwel siasa za tz ni mchezo mshafu kwel tumwombe mungu tutafanikiwa.Vp sasa angekuwa anagombea urais yange kuzwa hayo
 
Back
Top Bottom