Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Toka mfumo wa vyama vingi uanze kumekuwa na kawaida ya kuwa na polls estimate kabla ya uchaguzi. Na mara zote imekuwa in favour of CCM. Je mwaka huu vipi mbona hatuwasikii.
Je hii si dalili kwamba mambo si mazuri kwa CCM na mgombea wao as such the pollsters wanaogopa kumuudhi bwana wao CCM?
Jamani si ni hawa REDET, Synovvate tulikuwa tukiwasikia in 2005 na hata mwanzoni wa mwaka huu wakitueleza JK anavyokubalika??????????? Where are they??????????
Hivi kumbe hata polls zinakuwa nzuri kuzielezea iwapo tu upepo upo in the direction of your favorite? Ukienda against.......... nono nono no!! Hilo linchi linakwenda wapi?????????????
Je hii si dalili kwamba mambo si mazuri kwa CCM na mgombea wao as such the pollsters wanaogopa kumuudhi bwana wao CCM?
Jamani si ni hawa REDET, Synovvate tulikuwa tukiwasikia in 2005 na hata mwanzoni wa mwaka huu wakitueleza JK anavyokubalika??????????? Where are they??????????
Hivi kumbe hata polls zinakuwa nzuri kuzielezea iwapo tu upepo upo in the direction of your favorite? Ukienda against.......... nono nono no!! Hilo linchi linakwenda wapi?????????????