Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.
Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.
Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.
Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.
Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.
Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.
Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.