Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wengi watakubaliana na mimi kuwa biashara ya mavazi ni moja kati ya biashara isiyopitwa na wakatati, ni kama vile ilivyo biashara ya vyakula, kwani mtu atahitaji kula na kuvaa kila siku...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapinzani wamekuwa wakilalamika kwamba ukosefu wa ajira kwa vijana mchini unatokana na elimu duni.Je ni kweli tatizo ni elimu duni,ongezeko la watu au uchache wa ajira tatizo ambalo ni la...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
On salary increment, Mr Marando said Mr Kikwete told a rally on 22nd August, (according to the media), that he had increased the minimum wage from 135,000/- to 235,000/-, was a lie because...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wadau nimetembelea blogu ya Zitto Kabwe na kufurahishwa na jinsi Kampeni zake zinavyoendelea kule Jimboni kwao. Haya ndo mambo ambayo CHADEMA nzima walipaswa kuyafanya. Jambo ambalo inambidi Zitto...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Tuko Live sasa. . . . . Lema wa CHADEMA anaongea . . .
0 Reactions
76 Replies
5K Views
Ni mara ngapi tumechagua wasaii kuwa viongozi wetu? Angalia hizo attachement uone kiongozi anatakiwa aweje na msanii utamtambua. FANYA MAAMUZI SAHIHI WAKATI NDIO HUU.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetupilia mbali pingamizi alilowekewa mgombea ubunge wa jimbo la Karagwe kupitia Chadema, Deusdedith Kahangwa. Kwa mujibu wa barua ambayo gazeti hili limeona...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wajameni, habari za leo tena. Kuna tetesi kuwa yule mgombea wa chadema aliyeenguliwa Karagwe NEC imemrudishia hadhi ya kugombea. Kama ni kweli tujiulize "wasimamizi wa uchaguzi majimboni ni wala...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SERIKALI inatarajia kuanza kutumia njia ya reli kwa ajili ya kusafirisha abiria kwa mkoa wa Dar es Salaam ili kuondokana na adha ya foleni ambayo inazidi kila kukicha. Kauli hiyo ilitolewa jana...
0 Reactions
68 Replies
7K Views
Malecela-CCM isihusishwe na ufisadi Na Waandishi wetu 30th August 2010 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Miaka michache ya hivi karibuni tumekuwa tukisikia ama kuona katika vyombo vya habari kuhusu watu wa huko U.K. kuendelea kufungua utitiri wa matawi ya C.C.M. Mbona hatuna hayo matawi huku USA...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Kulingana na makubaliano yaliyofikiwa baina ya tume ya uchaguzi(NEC) na vyama vya siasa ikiwemo kutunga sheria mpya juu ya matumizi ya fedha pamoja na taratibu zingine za kuendesha uchaguzi. Mimi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wanaJF, nimeanza kuwasiliana na baadhi ya maadvocate kuona ni kwa vipi tunaweza kumwekea pingamizi Kikwete asigombee Urais kutokana na sababu zifuatazo: Sababu ya kwanza Inatokana na afya...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
"Kwa ugonjwa huu; nitakufa.. Watanzania wale watalia sana.., nitawaombea kwa Mungu" Ndugu wanaJF nimeona nianze kwa kunukuu sehemu ya maneno ya Baba wa taifa katika siku zake za mwisho pale St...
0 Reactions
94 Replies
9K Views
People are divided into three main groups depending on the mind set.. 1. Lower mind - (Discuss other people) Group hili wao ni kujadili mambo binafsi ya watu.. Ambayo ki u halisia hayana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
He accuses the Tanzanian government of corruption. From the lowest ranked member of Police force in Moshi to the highest officer, from a local magistrate to Chief Justice, from a DC to the...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Serikali imeamua kwa makusudi kukandamiza haki za wananchi walioiweka madarakani, imeamua kuwapora haki zao, maisha yetu yapo mikononi mwa nani? Mwizi wa kuku yupo Segerea anatumikia kifungo cha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hatuko mwanzo,wala hatuko mwisho,inawezekana tuko mwanzo wa mwisho.Hapa nazungumzia safari ya taifa hili la Tanzania kuelekea kwenye ukweli,kuelekea kwenye mwanga.Ukiona giza totolo limetanda kila...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Makala hii ilichapwa kwa mara ya kwanza kwenye gazeti huru la Dira Zanzibar, Na. 45, la Oktoba 10-16, 2003. Nimeamua kuileta tena hapa ukumbini baada ya kuiona hii video ilowekwa jana kuhusiana na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
In the same way that a baby is branded an angel, and goes unpunished for mistakes the creature makes, due to newness in the world into which he or she has been thrust, crazy behaviour and...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom