Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mkapa ampiku Kikwete • Utawala wake wauzidi wa Kikwete kiuchumi na Sauli Giliard PAMOJA na kukabiliwa na tuhuma mbalimbali za ubadhirifu, huku baadhi ya watu wakitaka Rais mstaafu Benjamin...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Ikiwa imebakia takribani mwezi moja kuingia kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji je WATANZANIA wanaweza kusema msemo huu TANZANIA bila ya CCM inawezekana
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MARA nyingine huwa najiuliza uchaguzi unatusaidia nini wakati ambapo walio nacho wadanganya waziwazi na wasio nacho wadanganyika bila wasiwasi. Lakini baada ya mjadala mkali wa sebuleni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ifuatayo ni habari njema kwa Watanzania, adha ya usafiri wa anga natumaini itapungua sasa.. Kampuni ya Precisionair kuingiza ndege saba mpya Tanzania Na Andrew Msechu KWA mara ya kwanza...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Kwanza kabisa, naunga naunga mkono waraka wa Kanisa (hakuna swali hapa). Ila, kauli ya viongozi wa TUKTA inakatisha tamaa kiasi kikubwa na kuonyesha jinsi viongozi hawa wanavyojipenda wenyewe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
WANAFUNZI wanne wa shule za sekondari wilayani Karagwe, wamehukumiwa kwenda jela miezi sita kila mmoja kwa kosa la kushindwa kuwataja waliowapa ujauzito na kusababisha washindwe kuendelea na...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kama wewe ni mwana hiphop wa bongo basi unaobwa kutoa/kuchangia maoni yako katika mradi mpya wa kuandika waraka wa wana hiphop kwa wapiga kura wa TANZANIA.mradi huu mpya unalenga kutoa elimu ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Working up a sweat: France's President Nicolas Sarkozy jogged along Madison Avenue ahead of his appearance at the U.N. climate summit Read more...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Na Simon Mhina 22nd September 2009 Spika wa Bunge, Samwel Sitta. Spika wa Bunge, Samwel Sitta, amesema viongozi wanachangia kurudisha maendeleo nyuma nchini kutokana na kukosa mikakati endelevu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi simzuii mtu kuwa Mbunge wa Maswa kwa sababu kuwa na mtoto wa kike huzuii mtu kuleta posa, niliishatangaza na ninaomba mtu asijisumbue kuniambia Shibuda kuna watu watano wamekuja wanataka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Ramadhan Semtawa SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta amesema kitendo cha wahisani na Watanzania wengine kumuunga mkono katika uendeshaji vikao vya chombo hicho cha wawakilishi wa wananchi kimempa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Click the labels at left to learn about the Democratic Republic of Congo’s chaotic history of dictatorship, violence and war. Microsoft Virtual Earth The Democratic Republic of Congo, a vast...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Serikali yaridhia utoaji mimba * PRO-LIFE yapinga, yamwandikia Kikwete na Joseph Sabinus Tanzania Daima~Sauti ya watu SERIKALI imetia saini kuridhia itifaki za haki za wanawake, ikiwemo ya...
0 Reactions
110 Replies
15K Views
We should be spending more time and resources kufanya mambo kama ya jirani zetu Rwanda. Hivi sisi Tanzania tunachoshindwa ni kipi kuwa na fleet ya internet buses kama hawa jamaa? Are we really...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa kweli hakuna opposition party, wote ni walewale, walitimua na kujifanya opposition, ukweli wote wako kwenye payroll ya CCM!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiwira workers: What`s our fate? By The guardian reporter 22nd September 2009 `Salary arrears rise to 2.5 billion shillings` Kiwira coal mine worker Kiwira coal mine workers...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Waungwana, Hivi ile ripoti ya CAG aliyokabidhiwa Pinda wiki chache zilizopita kuhusiana na kituo cha Mabasi kinachoendeshwa na Kingunge ilishatolewa hadharani au bado Pinda ameikalia...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nafasi ya sasa ya Mkurugenzi wa Shirika la umeme Tanzania (Tanesco)Dr Idrisa Rashid sambasamba na ya Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini(Sumatra) Israel Sekirasa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Just in case kuna mtu atakuwa interested na makala haya ya Jenerali Ulimwengu Rai ya Jenerali Nakala chapishi Mtumie mwenzio Jiandikishe utaarifiwe Salim, Msuya, Warioba, Malecela...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Amepeleka majeshi Pemba tokea mwanzo wa Ramadhani hadi leo ,wakitesa ,wakiwapiga watu mabomu ,kumbe Kikwete nae anamuogopa Mwenyezi Mungu ? Basi ajue madhila waliyopatishwa WaPemba na jeshi lake...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom