TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Hivi ni kweli Prof.Lipumba alikuwa mshauri wa Mzee Mwinyi kwenye masuala ya uchumi wakati Mwinyi akiwa raisi??????
Huwa najiuliza nani tatizo mshauri..... mshauriwa?
Hivi ni kweli Prof.Lipumba alikuwa mshauri wa Mzee Mwinyi kwenye masuala ya uchumi wakati Mwinyi akiwa raisi??????
Umeshidwa hata ku-google upate hizo obvious information?
Nawaulize ninyi mlio katika nyumba hii ya fikra.Hapa ni zaidi ya google.Google hawatasema kwa nini kama alikuwa mshauri leo anapinga mfumo wa uchumi ambao alikuwepo.Wananchi tunawaona wapinzani ni wehu tu.
Correction: "....wananchi tunawaona mafisadi na waliotumwa na mafisadi kwa jina la upinzani (CUF) ili kugawa kura za urais zitakazopigwa ili kuipunguzia kasi CHADEMA kuwa ni wehu tu.....!
Nawaulize ninyi mlio katika nyumba hii ya fikra.Hapa ni zaidi ya google.Google hawatasema kwa nini kama alikuwa mshauri leo anapinga mfumo wa uchumi ambao alikuwepo.Wananchi tunawaona wapinzani ni wehu tu.
Nawaulize ninyi mlio katika nyumba hii ya fikra.Hapa ni zaidi ya google.Google hawatasema kwa nini kama alikuwa mshauri leo anapinga mfumo wa uchumi ambao alikuwepo.Wananchi tunawaona wapinzani ni wehu tu.
Calipso,Acha pumba.. atakaegawa kura za urais ni nani? Lipumba au slaa? kwani nani alioanza kuwepo kabla uchaguzi huu? kwani nani alietangaza Mwanzo kuwa ataogombea? umesahau kuwa slaa alikuwa tayari yupo hatua za mwisho za kugombea ubunge kwa kauli yake mwenyewe? huoni baada ya Lipumba kutangaza na hao ccm-b chadema wakatumwa na ccm ili na wao wamsimamishe mgombea tena mtu ambae atakaeweza kupunguza kura za Lipumba? kwani nani mpaka sasa ana mtaji mkubwa wa kisiasa,baina ya Lipumba na slaa? yaani laiti ingekuwa vyombo vya habari vinatenda hakki basi ungeona jinsi Cuf mikoani wanavopata sapoti tena wamevunja record huko, isipokuwa hivi vyombo vyetu vya habari vinatumiwa na ccm ili viitangaze ccm na waitangaze chadema ionekane chadema ina nguvu kuliko Cuf,then kwenye uchaguzi wanataka kuhakikisha Cuf wasipate mgombea hata mmoja kama walivofanya uchaguzi uliopita,halafu wananchi hapo ndio wataona kweli Cuf imekufa kwa sababu hata kwenye magazeti tuliisikia ccm na chadema tu.. Lkn tunasema uchaguzi wa mwaka huu tutauwana,hatukubali ng'o. na mfano mzuri tumeonesha juzi tu ktk uchaguzi wa serekali za mitaa ni chama kilichovuna viti vingi baada ya ccm, pamoja na ccm kutuibia viti vingi na kutufanyia kila aina ya vitimbi,lkn bado tupo juu,sasa tunataka kuzidisha uzi...
Hivi ni kweli Prof.Lipumba alikuwa mshauri wa Mzee Mwinyi kwenye masuala ya uchumi wakati Mwinyi akiwa raisi??????
vipi tandala one mbona kama umetumwa??? wewe si mwana ccm kwahiyo unajua hayo....... #$%^&*()_)(*&^%$%^&*zako
kama ni kweli basi ni kwa ushauri wa ujenzi wa vituo vya mihadhara na kampeni za ant kitimoto
Ila si ni expert huyu mtu!!???
Wote tatizo.Ila hujajibu swali!!!
madrassa al sul
Correction: "....wananchi tunawaona mafisadi na waliotumwa na mafisadi kwa jina la upinzani (CUF) ili kugawa kura za urais zitakazopigwa ili kuipunguzia kasi CHADEMA kuwa ni wehu tu.....!
kama ni kweli basi ni kwa ushauri wa ujenzi wa vituo vya mihadhara na kampeni za ant kitimoto