Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
habari za uhakika ni kuwa ccm bado wana upungufu wa magari ya kampeni. wameagiza magari kutoka nje ya nchi kupitia toyota na dt dobie TZ.
wamewaambia wanataka magari araka iwezekanavyo kutoka kokote kule duniani. mpaka hawa ma dealer wameshindwa ku meet demand
ninachojiuliza je magari mangapi ya kampeni yanahitajika, na kwa nini magari yote haya
je baada ya kampeni haya magari yataenda wapi
wamewaambia wanataka magari araka iwezekanavyo kutoka kokote kule duniani. mpaka hawa ma dealer wameshindwa ku meet demand
ninachojiuliza je magari mangapi ya kampeni yanahitajika, na kwa nini magari yote haya
je baada ya kampeni haya magari yataenda wapi