Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siri nzito Zanzibar na Tamali Vullu CHAMA cha Wananchi (CUF), kimerusha makombora mazito ya lawama dhidi ya mahasimu wao, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiibua shutuma mpya ambazo...
0 Reactions
70 Replies
10K Views
FYI mheshimiwa CHACHA WANGWE!!!!!!!! Kujitowa kwa Mahathir katika chama tawala kunatishia hatamu za Waziri Mkuu Badawi nchini Malaysia. Waziri Mkuu wa Malaysia Abdullah Badawi amekataa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ex-PM Lowassa to chair crucial meeting on 12bn/- joint venture deal THISDAY REPORTER Dar es Salaam NEW questions are arising regarding the soundness of a multi-billion shilling, joint...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna habari za ndani sana zinazosema kuwa akitarajia muda si mrefu kuwekwa kizimbani aliyekuwa Waziri wa Viwanda Bw. Basil Mramba ameamua kuachilia umiliki wa hoteli yake ya Kibo Palace iliyoko...
0 Reactions
33 Replies
6K Views
nimemsikia waziri wa viwanda akisema kuwa wanafuatilia viwanda ili viongeze mchango wake kwa pato la taifa. Naona ni wazo zuri, Sasa naomba tujadiliane, je viwanda vipi vya kukuzwa au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Napenda kuwataarifu kuwa mwana JF mwenzetu, Mzee Shughuli Bwana, amechaguliwa na watanzania wenzake wanaoishi nchini Uholanzi kuwa kiongozi wao. Mzee Shughuli Bwana alichaguliwa kwenye mkutano wa...
0 Reactions
63 Replies
8K Views
Ruling party sweats over grand corruption scandals, muafaka By The Citizen Team Chama Cha Mapinduzi (CCM) says the recent war against graft is being over-amplified by the media on their...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za usiku huu wana Bodi, Kwa mujibu wa habari toka Karatu,Dr Wilbroad slaa amepokelewa kwa ndiriomo na vifijo jimboni mwake nbaada ya kushinda kesi ya uzushi iliyotolewa na watu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Beware of thieves called 'mafisadi'! Lusekelo Daily News; Sunday,May 18, 2008 @00:06 CCM members in Mbeya region, and indeed all over the country, have not been exactly tickled dizzy by...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kutwambia Watanzania nani ni mmiliki halali wa mgodi wa Buhemba? Je, katika kikao kijacho cha bunge kitakachoanza June 10 Waziri wa Madini, William Ngeleja ataweza kutwambia Watanzania ni nani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Norconsult reverses decision to pull out By Tom Mosoba THE CITIZEN Norwegian international engineering consultancy firm Norconsult AS, which two weeks ago announced the closure of its...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Najaribu kujiuliza kama kweli muafaka, mapatano na umoja wa Zanzibar na hatima ya Taifa letu vinaweza kufikiwa bila kuzungumzia kwa uwazi na ukweli matukio yaliyosababisha mapinduzi ya 1964...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Sasa sisi bado tunasubiri majibu???!! The unanswered questions David Leigh The Guardian, Wednesday May 7 2008 Article historyAbout this articleClose This article appeared in the Guardian on...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Yaani amini usiamini Qurani haikubakisa kitu ,nilipoisikia habari ya mafisadi ,nilijaribu kusoma soma na kutafuta kama kuna ukweli wowote wa haya yaliibuliwa ndani ya Tanzania kuhusu wabadhirifu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kesi ya msingi kuhusu tume huru ya uchaguzi inatarajiwa kufunguliwa mwishoni mwa wiki hii na mchungaji mtikila . Kesi hii itakuwa na mvuto kwa watanzania na wadau wengine, je mahakama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivyo viongozi waliopo madarakani wanachokifikilia ni kipi juu ya amani ya nchi yetu. Wanafikili kutumia mabavu na khofu ndio nguvu ya kuweka amani. Sivyo kabisa. Yote ni kuendelea kujenga uhasama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
na Mwanne Mashugu, Zanzibar TD SAKATA la kuvunjika kwa mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mpasuko wa kisiasa Zanzibar, limechukua sura mpya, baada ya makada wa CCM Zanzibar kufufua ubao wa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Remembering Mbuyisa Makhubo and others who fought oppresion. This day is coming to Tanzania. It is coming faster than we can think and imagine. Mungu tuepushie balaa hili.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Waungwana hebu tujadili kidogo. Ni kwanini viongozi wakiwa wanawania nafasi ya umma (public office) wanakuwa waungwana mno ila wakishapata madaraka wanabadilika ghafla kuliko hata wale...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
..every combatant must return home. ..nimesikitishwa sana na habari kwamba askari wetu aliyetumwa Comoro alizama baharini na mwili wake haujapatikana mpaka leo. ..kilichonishangaza ni kwamba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom