Na Simon Mhina
22nd September 2009
Spika wa Bunge, Samwel Sitta.
Spika wa Bunge, Samwel Sitta, amesema viongozi wanachangia kurudisha maendeleo nyuma nchini kutokana na kukosa mikakati endelevu...
Mimi simzuii mtu kuwa Mbunge wa Maswa kwa sababu kuwa na mtoto wa kike huzuii mtu kuleta posa, niliishatangaza na ninaomba mtu asijisumbue kuniambia Shibuda kuna watu watano wamekuja wanataka...
Na Ramadhan Semtawa
SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta amesema kitendo cha wahisani na Watanzania wengine kumuunga mkono katika uendeshaji vikao vya chombo hicho cha wawakilishi wa wananchi kimempa...
Click the labels at left to learn about the Democratic Republic of Congos chaotic history of dictatorship, violence and war.
Microsoft Virtual Earth
The Democratic Republic of Congo, a vast...
Serikali yaridhia utoaji mimba
* PRO-LIFE yapinga, yamwandikia Kikwete
na Joseph Sabinus
Tanzania Daima~Sauti ya watu
SERIKALI imetia saini kuridhia itifaki za haki za wanawake, ikiwemo ya...
We should be spending more time and resources kufanya mambo kama ya jirani zetu Rwanda. Hivi sisi Tanzania tunachoshindwa ni kipi kuwa na fleet ya internet buses kama hawa jamaa?
Are we really...
Waungwana,
Hivi ile ripoti ya CAG aliyokabidhiwa Pinda wiki chache zilizopita kuhusiana na kituo cha Mabasi kinachoendeshwa na Kingunge ilishatolewa hadharani au bado Pinda ameikalia...
Nafasi ya sasa ya Mkurugenzi wa Shirika la umeme Tanzania (Tanesco)Dr Idrisa Rashid sambasamba na ya Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini(Sumatra) Israel Sekirasa...
Just in case kuna mtu atakuwa interested na makala haya ya Jenerali Ulimwengu
Rai ya Jenerali
Nakala chapishi
Mtumie mwenzio
Jiandikishe utaarifiwe
Salim, Msuya, Warioba, Malecela...
Amepeleka majeshi Pemba tokea mwanzo wa Ramadhani hadi leo ,wakitesa ,wakiwapiga watu mabomu ,kumbe Kikwete nae anamuogopa Mwenyezi Mungu ? Basi ajue madhila waliyopatishwa WaPemba na jeshi lake...
hivi mnalionaje suala la maadili na vyombo vya habari?????
mi naona kadri siku zinavyokwenda hali inazidi kuwa mbaaya.
sasa kuna vipindi vya redio,hasa vya taarabu,matusi imekuwa kawaida..
kwenye...
Academics divided on 'Kilimo Kwanza' policy
By Samuel Kamndaya
Academicians are divided on whether or not, Tanzania�s new initiative dubbed as �Kilimo Kwanza�...
MIOYO ya Watanzania wengi sasa imeanza kuwa juujuu hasa kutokana na pilikapilika zisizo za kipimo kuanza kwa kasi ya ajabu na kuwafanya watu wenye nia ya kutafuta kile wanachokitaka waanze...
Wakati naendelea kulumbana na FMES na Mzee Mwanakijiji kuhusu wajibu wa Wapiganaji, Vita ya Wapiganaji na ni nani anafaidika na Upiganaji, jina moja linakuja mukichwa na dhamira inaniambia kuwa...
He assumed the office of the presidency with fanfare and with an overwhelming mandate he ascended to power. He was called to lead. He has miserably failed and now he has become a good follower...
Vurugu za kisiasa zinazotokea Zanzibar kwa sasa na sehemu zingine wakati wa uchaguzi Tanzania bara zinatoa fundisho moja kubwa kuwa vyama vingi havijengi umoja wa kitaifa. Ingawa inaweza kuonekana...
Mafisadi wakomba zaidi ya shilingi trilioni moja serikaliniNI FEDHA ZA BAJETI YA WIZARA SITA
Na Mwandishi Wetu
ZAIDI ya Sh1 trilioni zimechotwa nyakati tofauti kutoka serikalini katika miaka...
A few months before Thabo Mbeki was "recalled" from the South African presidency by his party, ANC, two biographers published 'Fit to Govern: The Native Intelligence of Thabo Mbeki' and 'Thabo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.