chilamjanye
Senior Member
- Oct 5, 2007
- 110
- 3
KIKWETE BAADA YA KUANGUKA MNAMTAKA AZIMIE?
Jamani nasikia Kikwete Hatapumzika kama ratiba ilivyokuwa awali kwamba kwa vile anaanguka mara kwa mara atafanya kampeni kwa awamu ili aweze kupumzika. Sasa leo tunaambiwa hatapumzika tena. Je akianguka mara nyingine si ndo hatazinduka kama alivyo Eriel Sharon. Mhurumie apumzike afya yake haistaimili kazi ngumu jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Jamani nasikia Kikwete Hatapumzika kama ratiba ilivyokuwa awali kwamba kwa vile anaanguka mara kwa mara atafanya kampeni kwa awamu ili aweze kupumzika. Sasa leo tunaambiwa hatapumzika tena. Je akianguka mara nyingine si ndo hatazinduka kama alivyo Eriel Sharon. Mhurumie apumzike afya yake haistaimili kazi ngumu jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii