Elections 2010 Ushauri wa bure kwa serikali mpya ya dar slaa.

majata

JF-Expert Member
Oct 7, 2010
431
179
Dalili kubwa zinaonyesha ushindi mkubwa wa zaidi ya ule wa kura za maoni za mwanahalisi, kwani kila siku watu wenye roho za kutafuta maslahi zaidi wamekuwa wakijisogeza taratibu kwenye chama kinacho elekea kushinda, kama unabisha hilo jaribu kukaa na watu wanaofanya kazi serikalini ulizia misimamo ya viongozi wao kuhusu upinzani watakwambia mabosi wao wanahaha sana sasa hivi wakihofia kuingia kwa serikali mpya kutawanyang'anya mikate yao, hivyo Dr Slaa anatakiwa AWE MAKINI na WAGENI wanaotafuta MASLAHI badala ya MAENDELEO ya UKWELI Kwa RAIA kwani sisi raia tumeamua KUWAADHIBU Hao WANAOTULAGHA KILA UCHAGUZI WAKATI HAWAJA TEKELEZA YALE WALIYO AHIDI. Dr Kwa wanadamu hakuna ambae HAWEZI KUONGOZA kwa kanuni na taratibu ambazo tumejiweke(KATIBA), Kwani kazi ya mwanadamu aliyopewa na MUNGU ni kuongoza. Wapewe uongozi watu makini wenyetaaluma inayostahili na uwasimamie kila siku nabaadae usikilize vipimo vya maoni kutoka kwa wananchi. Vinginevyo serikali yako itapoteza MVUTO mapema kwa kuwapa mafisadi waongoze NCHI TENA harafu nawewe tutakuadhibu 2015.

"Zaidi ya yote Muombe Mungu Akuzidishie Hekima Katika Hili"
"Mungu Ibariki Serikali ya Dr Slaa iliituletee Unafuu wa maisha na angalau usawa wakimaisha hata kwetu watu wa chini, Mungu Ibariki Tanzania"
 
Dalili kubwa zinaonyesha ushindi mkubwa wa zaidi ya ule wa kura za maoni za mwanahalisi, kwani kila siku watu wenye roho za kutafuta maslahi zaidi wamekuwa wakijisogeza taratibu kwenye chama kinacho elekea kushinda, kama unabisha hilo jaribu kukaa na watu wanaofanya kazi serikalini ulizia misimamo ya viongozi wao kuhusu upinzani watakwambia mabosi wao wanahaha sana sasa hivi wakihofia kuingia kwa serikali mpya kutawanyang'anya mikate yao, hivyo Dr Slaa anatakiwa AWE MAKINI na WAGENI wanaotafuta MASLAHI badala ya MAENDELEO ya UKWELI Kwa RAIA kwani sisi raia tumeamua KUWAADHIBU Hao WANAOTULAGHA KILA UCHAGUZI WAKATI HAWAJA TEKELEZA YALE WALIYO AHIDI. Dr Kwa wanadamu hakuna ambae HAWEZI KUONGOZA kwa kanuni na taratibu ambazo tumejiweke(KATIBA), Kwani kazi ya mwanadamu aliyopewa na MUNGU ni kuongoza. Wapewe uongozi watu makini wenyetaaluma inayostahili na uwasimamie kila siku nabaadae usikilize vipimo vya maoni kutoka kwa wananchi. Vinginevyo serikali yako itapoteza MVUTO mapema kwa kuwapa mafisadi waongoze NCHI TENA harafu nawewe tutakuadhibu 2015.

"Zaidi ya yote Muombe Mungu Akuzidishie Hekima Katika Hili"

"Mungu Ibariki Serikali ya Dr Slaa iliituletee Unafuu wa maisha na angalau usawa wakimaisha hata kwetu watu wa chini, Mungu Ibariki Tanzania"

Hiki ndio cha muhimu zaidi,maomi maana kuna kulewa madaraka pia some times
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom