Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nilipojua Kampeni za Mbowe na comany yake ya Chama kumuandaa Mh Slaa kuwa ndio Mgombea wa urais, nilishtushwa sana. Kwa vile sikuwa na uwezo wa kutengua uchaguzi wao (kwa ukilitimba wao ndani ya...
0 Reactions
133 Replies
13K Views
Najua haki zangu za msingi na katika hizo haki kupiga kura sio haki ya msingi katika KATIBA, ibara ya 12-24 ya katiba ya jamuhuri wa muungano wa tanzania. aahaa kumbee hii ni haki ya kuwa raia wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mwaka huu ndo mwaka niliokua nausubili kwa hamu hapa kwetu tanzania,maana heshima haitakuja bila kumwaga damu japo kidogo,ukiangalia nchi nyingi dunian zenye maendeleo chimbuko lake ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Niko kwenye kochi nimetulia nawaangalia wagombea ubunge wa jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CHADEMA Philip Mogendi na Juliuus Mtatiro wa CUF na mgombea jimbo la Ubungo wakijadili mada ya keki ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Wadau, hali ya kiuchumi ni tete kwa sasa, na inavyoonekana, baada ya uchaguzi hali itakua mbaya zaidi..hii inatokana na pesa nyingi kuhamishiwa kwenye shughuli za uchaguzi na matumizi mengine...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Wiki mbili zinakutosha JK. Bwaga manyanga. Achana na urais Acha unafiki. Kazi ulishashindwa. Watanzania hawakutaki. Hao wapambe wachache wanaopewa shuka, fulana, kofia na usafiri wa bure...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
http://www.youtube.com/watch?v=HlvEiBRgp2M&NR=1
0 Reactions
2 Replies
948 Views
Ukweli ni lazima usemwe ,Zanzibar bila ya Tanganyika inawezekana sana ,kuendelea kuwa na Muungano usioeleweka ni kujizidisha kuangamia katika dimbwi la umasikini , Mimi kama Mtanzania ningelipenda...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Leo nimeingia kwenye ofisi moja kudai malipo,na nilikuwa nishataarifiwa kuwa malipo yapo tayari baada ya wiki niende,ile wiki imetimia leo,nikatia timu saa tatu asubuhi ya leo hii, majibu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ah! Chadema noma! Nimeona kupitia ITV hiyo nyomi ya hapo shy town. Nimeona hadh upeo wa macho yangu tu huo umati. Ee Mungu mapenzi yako yatimie katika mageuzi haya. Ccm bye. So sad
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Leo ktk taarifa ya habari ya saa mbili usiku ITV kuna mgombea udiwani wa CCM huko Masama ameonyeshwa akiwa analia lia kisa ati wanachama wa CHADEMA walimuwowa mbele ya kamanda mbowe!... ghafla...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
:A S angry:NALIA:nono: NIKIWA KAMA MWANA JF HALISI NAPENDA KUWAFIKISHIA TAARIFA HIZI KWANI HAPA MAISHA YETU SI JUI KAMA YATAKUWA SALAMA MAANA CCM WAMEPANIA HASA KUCHKUA MADARAKA KWA KILA NJIA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Napenda kuuliza,waraka wa kufungua vyuo novemba baada ya uchaguzi ulitolewa na nani kwenda vyuoni vyote?ki kawaida kila chuo huwa na programme zake na kawaida tz vyuo huanza muhula wa kwanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Naamini chaguzi hi sehemu ya maisha. kwa hiyo napendekeza wale jamaa wanaosoma masters, .... . wachangamkie tenda. Naamini hiyo topic tosha kwa kufanya utafiti. Ila siyo wa kuchakachua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani, nimepitiwa au ndo hali halisi. Mbona sijasikia kama Tume ya Uchaguzi wako tayari kuruhusu uwepo wa vyombo vya habari kwenye chumba cha kujumlishia na kutangazia matokeo ya uchaguzi mkuu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jk akitegemea historia kujirudia yenyewe alitarajia awamu ya pili itakuwa mteremko lakini siasa huwa hazitabiriki kabisa. Kinyume na matarajio yake amekutana na ghadhabu ya wapigakura wenye kiu...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Katika hali inayoonyesha "La kuvunda halikosi ubani" wana-CCM Arusha wameparanganyika katika makundi matatu makubwa kutokana na kuchukizwa na asiyekuwa mwanajimbo la Arusha mjini, Mheshimiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
As we move towards integrating our economies and creating joint market as I read posts on this forum I am getting the sense that alot of people don't really understand the purpose of a common...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
...........................................
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom