Mmoja wa makada wa CCM niliyezungumza naye amekiri Dr Slaa anashinda ila hawezi kuunda Serikali kwa kuwa hatakuwa na wabunge wa kutosha kupitisha mswaada wowote. Sijui wapenzi wa Chadema kuunda Serikali bila idadi kubwa ya wabunge hiyo serikali itafika miaka 5 kweli?
Mmoja wa makada wa CCM niliyezungumza naye amekiri Dr Slaa anashinda ila hawezi kuunda Serikali kwa kuwa hatakuwa na wabunge wa kutosha kupitisha mswaada wowote. Sijui wapenzi wa Chadema kuunda Serikali bila idadi kubwa ya wabunge hiyo serikali itafika miaka 5 kweli?
Mmoja wa makada wa CCM niliyezungumza naye amekiri Dr Slaa anashinda ila hawezi kuunda Serikali kwa kuwa hatakuwa na wabunge wa kutosha kupitisha mswaada wowote. Sijui wapenzi wa Chadema kuunda Serikali bila idadi kubwa ya wabunge hiyo serikali itafika miaka 5 kweli?
Nguvu ya umma ndo hiyooo! harufu ya mabadiliko inawadia, kama watanzania watapiga kura kweli na CCM wakakubali hali halisi basi New Hope is there now.
Rejea mambo ya Rais wa sasa wa Malawi. Wabunge wa Chama chake walimwacha akaanzisha Chama chake na anatawala vizuri. Lakini unanjuaje kamaa CHADEMA haitapata wabunge wa kutosha?
Asiwe na wasiwasi. Serikali ipo hata kama ni ya Umoja wa kitaifa, Mwakyembe, Juma Haji Duni, Prof. Lipumba and the rest from the ranks and files of CHADEMA. In three months, New Constitution, New NEC, Mafisadi wote Quarter guard!!! Then tunaitisha Uchaguzi mpya wa Real democracy - equal play field.
Kumbuka Dr. Slaa kaahidi kuifumua katiba iliyopo ili kumruhusu kuteua mawaziri ambao si wabunge. Hivyo uwezekano wa kuundwa serikali ni mkubwa hata kwa kutumia katiba iliyopo