Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Watoto wa halaiki walio kuwepo jana katika uwanja wa Tanganyika tar.14/10/2010 wakati wa kuzima mwenge wameandamana kwenda ofisi ya mkuu wa Mkoa Kigoma wakiimba "Tunataka haki zetu" Wanadai pesa zao.
-Inasemekana huduma za kibinadamu kama maji walikuwa hawapewi juzi wamelazwa kwenye maturubai siku ya kilele wameshinda kwenye jua.
-Dataz zaidi zinadai kuna wakufunzi wametoka Dar kwa siku kazaa wanakula posho tu huku wakiwasahau hao watoto halaiki.
Nawakilisha inatia uchungu sana wakubwa wamesha chukua chao watoto wamewaacha hivi hivi.
-Inasemekana huduma za kibinadamu kama maji walikuwa hawapewi juzi wamelazwa kwenye maturubai siku ya kilele wameshinda kwenye jua.
-Dataz zaidi zinadai kuna wakufunzi wametoka Dar kwa siku kazaa wanakula posho tu huku wakiwasahau hao watoto halaiki.
Nawakilisha inatia uchungu sana wakubwa wamesha chukua chao watoto wamewaacha hivi hivi.