Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Dr Willibrod Peter Slaa yupo leo Bukoba. Amekuwa na mkutano maeneo ya Kibengwe Bukoba vijijini na anategemea kuwa Kanyigo baadaye.
Sasa hivi anategemewa muda mfupi ujao atakuwa katika kata ya Ijuganyundo katika Manispaa ya Bukoba. Kisha atahutubia katika viwanja maarufu hapa mjini kama Uhuru Platform. Watu ni wengi sana walio katika maandalizi ya kumpokea na kumsikiliza. Naona bendera kila mahali.
Nimepata habari kwamba kule Karagwe jana Dr alipokelewa na umati ambao haujapata kuonekana na kwa wale wakazi wa Karagwe inasemekana watu walijipanga njiani toka Kayanga hadi Nyaishozi ili kumlaki mwaka huu namshauri Kikwete aondoke kwa amani ikulu.
Habari zaidi na picha baadae wakuu wangu. Ngoja niwahi mkutano!
People's Poweeeeeeeeeeer!
UPDATES - PICHA:
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Willibrod Slaa, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Bukoba na vitongoji vyake, katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Uhuru.
Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akiwapungia mkono wakazi wa mji wa Bukoba katika msafara kuelekea katika Uwanja wa Uhuru mjini mjini Bukoba ambako alifanya mkutano wa kampeni (Picha: Joseph Senga)
Sasa hivi anategemewa muda mfupi ujao atakuwa katika kata ya Ijuganyundo katika Manispaa ya Bukoba. Kisha atahutubia katika viwanja maarufu hapa mjini kama Uhuru Platform. Watu ni wengi sana walio katika maandalizi ya kumpokea na kumsikiliza. Naona bendera kila mahali.
Nimepata habari kwamba kule Karagwe jana Dr alipokelewa na umati ambao haujapata kuonekana na kwa wale wakazi wa Karagwe inasemekana watu walijipanga njiani toka Kayanga hadi Nyaishozi ili kumlaki mwaka huu namshauri Kikwete aondoke kwa amani ikulu.
Habari zaidi na picha baadae wakuu wangu. Ngoja niwahi mkutano!
People's Poweeeeeeeeeeer!
UPDATES - PICHA:
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Willibrod Slaa, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Bukoba na vitongoji vyake, katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Uhuru.
Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akiwapungia mkono wakazi wa mji wa Bukoba katika msafara kuelekea katika Uwanja wa Uhuru mjini mjini Bukoba ambako alifanya mkutano wa kampeni (Picha: Joseph Senga)