Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Kikwete kuanza kuzungumzia maneno ya uchochezi ya kumwaga damu siku moja baada ya kusambazwa inaashiria kitu gani? Lini kafanya uchunguzi na kujiridhisha kuwa si maneno ya kubuni. Je tukisema anahusika na kuyaandaa ili aje kuyatumia kisiasa tutakuwa tunamwonea?
Inaonyesha amemaliza ahadi zote na kuanza kujiingiza kwenye siasa za maji taka kama katibu wake Mkuu. Ndugu wana jamvi mimi nina wasiwasi na Kikwete kuwa ni mmojawapo wa walioandaa maneno hayo kwa jinsi alivyoyachukulia upesi upesi na kuanza kuyatumia majukwaani.
Inaonyesha amemaliza ahadi zote na kuanza kujiingiza kwenye siasa za maji taka kama katibu wake Mkuu. Ndugu wana jamvi mimi nina wasiwasi na Kikwete kuwa ni mmojawapo wa walioandaa maneno hayo kwa jinsi alivyoyachukulia upesi upesi na kuanza kuyatumia majukwaani.
Nani anasema CCM Mgombea Urasi wa CCM hana mkono katika hizi meseji.... Ushahidi wa kimazingira huu hapa: Uki-fatilia domain 6telecoms.co.tz, iliyotumika utaona wazi share the name IP ya Kikwete2010co.tz na JK web site yake na nyingine za mafisadi wa papa ziko hosted nao.
Angalia maandishi mekundu!
"
Kikwete2010.co.tz is a domain controlled by two name servers at co.tz. Both are on different IP networks. The name server kikwete2010.co.tz stated in SOA record is not in the list of name servers. Incoming mail for kikwete2010.co.tz is handled by two mail servers also at co.tz. Both are on different IP networks. kikwete2010.co.tz has one IP number (41.77.226.253).
212.233.84.in-addr.arpa, 229.77.41.in-addr.arpa, 228.77.41.in-addr.arpa and 227.77.41.in-addr.arpa share name servers with this domain. 6telecoms.co.tz share mail servers with this domain.