Mbona sources nyingine zinasema ni 9 ?
Hata 1. Kauliwa na huko anateseka
 
Mimi mtanzania na nimeishi Oman.
Leta ushahidi hapa kutoka serikalini kuwa kuna house girl aliwahi kuteswa Oman.

Balozi wa Tanzania alifanya ziara kwa wale wote wenye kujirekodi unafiki akatoa taarifa kwenye vyombo vya habari kuwa walikuwa wote Waongo Wanaotafuta umaarufu wa kijinga kwenye mitandao.
Matokeo yake wakafukuzwa kazi.

Leo hii wako buza wameshapigwa mimba na wavuta bange.
Unafiki umewatia adabu .
Ile kula bure na kulala bure na mshahara 700,000 kwa mwezi imeisha fasta.

Tusubiri huo ushahidi kutoka serikalini kama ataleta 😀

Embezzler haloo tunasubiri ushahidi
 
Mbona sources nyingine zinasema ni 9 ?
Early info zilidai ni 9 lakini baadae vyombo kama aljazeera wamecomfirm kuwa ni 14
 
Ndio miezi sita sasa,swali wale mateka kwenye mabadilishano walitokea ndani ya palestina?
 
Tusubiri huo ushahidi kutoka serikalini kama ataleta 😀

Embezzler haloo tunasubiri ushahidi
Alete wapi?
Hawa watoto wa kanisani hawana lolote zaidi ya chuki zilizoko ndani ya damu zao.
Wao wala hawabagui nani wa kuchukia muhimu awe Muislamu tu.

Biashara ya UTUMWA wametuletea Wazungu na Meli ya kwanza KUBEBA WATUMWA illitwa (MV JESUS).
USHAHIDI HUU ulioandikwa na hao hao WAZUNGU 👇


Leo Wazungu wanalazimisha NDOA ZA JINSIA MOJA DUNIA NZIMA na PAPA WA VATICAN KAUNGA MKONO LAKINI Huwezi kuona huyo Embezzler au mgalatia yyt anawalaumu au kuwakashifu WAZUNGU.!

Ingekuwa NDOA ZA JINSIA MOJA Zinatetewa na waarabu Hapa JF Kusingekalika.

Wangetukanwa WAISLAMU WOTE DUNIANI kuwa ni wachafu .
Lkn MZUNGU YEYE KWA HAWA WAKRISTO ni Mtu Saafi siku zote hata akiwapakaa kinyesi usoni.

Ukafiri ni balaa kubwa mno.
 
Nawe ulikua house girl huko?
Matusi ni ibada kwenu wagalatia.
Leta ushahidi hapa kwa hizo lawama zako za kipashkuna .
Nyie kina dada mnaotokea vingunguti mna laana flani mbaya sana.

Nafukika kapu mwanaharamu apite
 
UAE washaandaa mtu wao kutawala Gaza Mohamed dahlan
1712513774879.png

1712513855066.png
 
We mkolosai husikii raha mpk umtaje mufti kahtaan.
Neno Ajemi asili yake ni kutoka ktk Lugha YA KIARABU. ( العجميه.) Na kiswahili maana yake ni (WASIOKUWA WAARABU)
SAsa vipi waarabu na WASIOKUWA WAARABU wakawa sawa?;🤣🤣
Ndo maana waungwana wanasema USINGIZI WA MWENYE ELIMU ni BORA kuliko ibada ya siku nzima ya MJINGA.

Saaa hapo kipya kipi? Yaani kutafsi neno Persian and Median kwa kiarabu tayari unajiona mwenye elimu. Teh teh tihii. Waajemi kwa taarifa yako, waliwahi kuwa taifa kubwa kama Ugiriki, Roman na sasa USA 🇺🇸. Hao makobazi walikuwa washenzi tu kipindi hicho.
 
Alete wapi?
Hawa watoto wa kanisani hawana lolote zaidi ya chuki zilizoko ndani ya damu zao.
Wao wala hawabagui nani wa kuchukia muhimu awe Muislamu tu.

Biashara ya UTUMWA wametuletea Wazungu na Meli ya kwanza KUBEBA WATUMWA illitwa (MV JESUS).
USHAHIDI HUU ulioandikwa na hao hao WAZUNGU 👇


Leo Wazungu wanalazimisha NDOA ZA JINSIA MOJA DUNIA NZIMA na PAPA WA VATICAN KAUNGA MKONO LAKINI Huwezi kuona huyo Embezzler au mgalatia yyt anawalaumu au kuwakashifu WAZUNGU.!

Ingekuwa NDOA ZA JINSIA MOJA Zinatetewa na waarabu Hapa JF Kusingekalika.

Wangetukanwa WAISLAMU WOTE DUNIANI kuwa ni wachafu .
Lkn MZUNGU YEYE KWA HAWA WAKRISTO ni Mtu Saafi siku zote hata akiwapakaa kinyesi usoni.

Ukafiri ni balaa kubwa mno.

Kwani kuna siku waislam wamewahi kuwa na akili. Ona sasa wenzenu ISIS wamekamatwa wakitaka kuwalipua waAjemi kwenye sikukuu ya idd.
 
Back
Top Bottom