Mkuu wa Majeshi ya Israel akiri kushindwa na Hamas

FaizaFoxy

Platinum Member
Apr 13, 2011
92,894
109,227
Allahu Akbar.

Mkuu wa majeshi ya Israel kwa kauli yake mwenyewe, amekiri kushindwa vita na Hamas.

Israel imethibitisha kuwa imeshindwa kufikia malengo yake ya vita katika Ukanda wa Gaza wakati waasi wa IDF wakijiondoa kutoka sehemu kubwa ya eneo la Palestina baada ya mapigano ya miezi kadhaa. Mkuu wa majeshi, Luteni Jenerali Herzi Halevi amesema malengo hayo bado hayajafikiwa kikamilifu katika Ukanda wa Gaza na hiyo ni pamoja na kurejea kwa mateka wote, kurejea kwa wakaazi wote wa kaskazini na kusini katika makazi yao kwa usalama, na kusambaratisha Hamas katika Ukanda mzima wa Gaza. Tazama video kwa zaidi. HABARI ZA KIMATAIFA


View: https://youtu.be/x9VSIMjK2Ho?si=CWTf6IY4PcFXgCpm
 
malengo hayo bado hayajafikiwa kikamilifu au kushindwa na Hamas hatujakuelewa mara useme IDF inaondoka kwa kichapo ivi kati ya Palestine na Israel nani kapoteza hadi sasa maana hao Hamas walivyopiga October 7 waliua raia na wanajeshi kadhaa wakakimbia kujificha.. Israel imelipiza mara dufu sasa nani kala kichapo hapo kwa taarifa IDF inajiandaa kwa war front zingine
 
malengo hayo bado hayajafikiwa kikamilifu au kushindwa na Hamas hatujakuelewa mara useme IDF inaondoka kwa kichapo ivi kati ya Palestine na Israel nani kapoteza hadi sasa maana hao Hamas walivyopiga October 7 waliua raia na wanajeshi kadhaa wakakimbia kujificha.. Israel imelipiza mara dufu sasa nani kala kichapo hapo kwa taarifa IDF inajiandaa kwa war front zingine
Kama hujaelewa siyo tatizo langu, ni shule ulienda kusomea ujinga.
 
Allahu Akbar.

Mkuu wa majeshi ya Israel kwa kauli yake mwenyewe, amekiri kushindwa vita na Hamas.

Israel imethibitisha kuwa imeshindwa kufikia malengo yake ya vita katika Ukanda wa Gaza wakati waasi wa IDF wakijiondoa kutoka sehemu kubwa ya eneo la Palestina baada ya mapigano ya miezi kadhaa. Mkuu wa majeshi, Luteni Jenerali Herzi Halevi amesema malengo hayo bado hayajafikiwa kikamilifu katika Ukanda wa Gaza na hiyo ni pamoja na kurejea kwa mateka wote, kurejea kwa wakaazi wote wa kaskazini na kusini katika makazi yao kwa usalama, na kusambaratisha Hamas katika Ukanda mzima wa Gaza. Tazama video kwa zaidi. HABARI ZA KIMATAIFA


View: https://youtu.be/x9VSIMjK2Ho?si=CWTf6IY4PcFXgCpm

Propaganda zingine za kisenge kweli!
Hivi wewe kwa umri wako hujui kutofautisha kati ya "hatujafikia malengo na kushindwa kbs?? Kwani vita imeisha??

Ndgu zako ktk Imani wameteketezwa makumi kwa makumi na wengine Bado wanateketezwa lkn wewe umekalia propaganda tu.

Sasa kwa akili zako nani kapoteza kwenye hiyo vita ya Gaza?
 
Allahu Akbar.

Mkuu wa majeshi ya Israel kwa kauli yake mwenyewe, amekiri kushindwa vita na Hamas.

Israel imethibitisha kuwa imeshindwa kufikia malengo yake ya vita katika Ukanda wa Gaza wakati waasi wa IDF wakijiondoa kutoka sehemu kubwa ya eneo la Palestina baada ya mapigano ya miezi kadhaa. Mkuu wa majeshi, Luteni Jenerali Herzi Halevi amesema malengo hayo bado hayajafikiwa kikamilifu katika Ukanda wa Gaza na hiyo ni pamoja na kurejea kwa mateka wote, kurejea kwa wakaazi wote wa kaskazini na kusini katika makazi yao kwa usalama, na kusambaratisha Hamas katika Ukanda mzima wa Gaza. Tazama video kwa zaidi. HABARI ZA KIMATAIFA


View: https://youtu.be/x9VSIMjK2Ho?si=CWTf6IY4PcFXgCpm

Hamas ni Wanaume
 
Propaganda zingine za kisenge kweli!
Hivi wewe kwa umri wako hujui kutofautisha kati ya "hatujafikia malengo na kushindwa kbs?? Kwani vita imeisha??

Ndgu zako ktk Imani wameteketezwa makumi kwa makumi na wengine Bado wanateketezwa lkn wewe umekalia propaganda tu.

Sasa kwa akili zako nani kapoteza kwenye hiyo vita ya Gaza?
Ndivyo tulivyo
 
Propaganda zingine za kisenge kweli!
Hivi wewe kwa umri wako hujui kutofautisha kati ya "hatujafikia malengo na kushindwa kbs?? Kwani vita imeisha??

Ndgu zako ktk Imani wameteketezwa makumi kwa makumi na wengine Bado wanateketezwa lkn wewe umekalia propaganda tu.

Sasa kwa akili zako nani kapoteza kwenye hiyo vita ya Gaza?
Huwa sikisii. Hatabukitukananhaikusaidii kitu.
Sema wewe maana ya "failed" ni nini? Tazama screenshot hiyo:

Screenshot_20240410_083434_YouTube.jpg


Kushindwa ni kushindwa hata ukupambe vipi.
 
Faiza uongo utaacha lini? hivi kama unadanganya kwa vitu ambavyo vinaonekana, je utakuwa umedanganya vitu vingapi ambavyo havionekani.
Unaonesha umeumizwa aana na hii habari mpaka kichwa chako hakitaki kuuamini ukweli.
ahicho chanzo ni marafiki wa mazayuni

Hata kilichopo kwenye video clip hukielewi?

Nafahamu tatizo lako ni shule tu, hakuna zaidi.
 
Mara imeshindwa vita; mara haijafikia malengo which is which? Hizo ni scenarios mbili tofauti na sahihi ni hiyo ya pili.
 
Mara imeshindwa vita; mara haijafikia malengo which is which? Hizo ni scenarios mbili tofauti na sahihi ni hiyo ya pili.
Maneno ya jenerali mkuu wa majeshi ya mazayuni hayo, si yangu.
 
Back
Top Bottom