Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Ameshalambwa kiumeSubiri CCM wilaya zitatoa matokeo. Though intuition yangu inaniambia Bashite atashinda.
Ameshalambwa kiumeSubiri CCM wilaya zitatoa matokeo. Though intuition yangu inaniambia Bashite atashinda.
Mtulya vip ?KURA ZA MAONI KONDONI: ZAMARADI APATA KURA MBILI Mtangazaji zamaradimketema amepata kura mbili kinyany’anyito za kura za maoni jimbo la Kinondoni. Kura zilivyohesabiwa kwa uwazi mbele ya wagombea wote pamoja na wajumbe. Abbas Tarimba 171” Idd Azam 78 Kalapina 1
Uchaguzi ni maigizoHiyo haisaidii maana Mwenyekiti keshasema kuwa kwenye kikao cha mwisho cha uteuzi anachoongoza yeye, wa kwanza kura za maoni Jimboni anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza akateuliwa kutegemea Mwenyekiti alivyoamka siku ya uteuzi. Mwenyekiti ndo mwenye Chama, Serikali na Nchi uamuzi wake ni wa mwisho na haupingwi.
Mtulya vip ?
Mtulya kapata 11Mtulya vip ?
Mimi naona ukiwa mbunge ili upite kura za maoni inatakiwa usiwasahau wajumbe. Kupita jimbo,usisahau wananchi.Mtama
Nape Nnauye-496
Nahonyo Nahonyo- 167
Augustino Chiwinga- 8
Bora wafanye hivyo maana mwisho wa siku wanasiasa watakwambia hakuna adui/rafiki wa kudumu kwny siasa huku wao wanagonga cheers huku wananchi wanatoana macho.Kwahiyo watu wanaona bora wakacoment kule kuliko kupoteza muda kwenye mivyama ya siasa
Tupo uku jengo la utamaduni chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere makonda kainama ila matokeo bado sijayajuaMbona wanasema kapata kura nyingii
Dah na kuunga kote juhudi haijasaidia hadi binti wa watu akafarikiMtulya kapata 11
Kapita aisee
Makonda hoyeeeeh, Kwa dar kwenye majimbo akuna wa kushindana na Makonda. Makonda ni jina kubwa.
Subirini matokeo rasmi. Msije sikitika baadae.Wozaaaaaaaa haahahahah
Ilitakia apatw kura zero huyo mlamba makalioDah na kuunga kote juhudi haijasaidia hadi binti wa watu akafariki
Jimbo la moshi mjini Mr shayo na Mr priscus walijiandaa kwenye utoaji wa rushwa kwa kipindi kirefu Sana.Hivyo ccm tusipoangalia majina hayo kwa ukaribu sana.chama kinaelekea mikono isiyo salama ya rushwa.Kinondoni Kura xinaendelea kuhesabiwa, Lukuvi anapetaKama kura za wanachama sio zinazomteua kugombea kwanini wapitishwe katika hizi taratibu?
Ndugulile kashinda!!!Subiri CCM wilaya zitatoa matokeo. Though intuition yangu inaniambia Bashite atashinda.