Point kubwa sana hiihuko utwitani na facebook hakuna wapiga kura, wapiga kura wengi hawajuhi hata kama kuna kitu kinaitwa tweeter duniani, wao wanachotaka ni hospitali, maji, umeme nk....upinzani wakigundua umuhimu wa watu hao haki ya Mungu ushindi utakuwa wa kumwaga!
hwa wajinga wanaishi USA bila shaka, huku kwetu kwa Magufuli ukipiga kura sehemu ambayo hukujiandikisha(kama ulijiandikisha nje ya jimbo hilo la uchaguzi) unampigia kura rais tu!
Never everHata me naona, iko siku Tanzania itakuwa zaidi ya Somalia
Mimi sio mshabiki wa kisiasa watu wa kawe walimchoka halima, binafsi nilishuhudia halima anazomewa na wananchi hadi aibu. Hata matokeo siyashangai. Tukija iringa kwa msigwa mama yangu yupo kule anakwambia msigwa kupita ilikua ngumu sana alishapoteza direction . Swali lingine mtu unajiuliza hata kama umeiba kura mtu amekuzidi kura 160k yani mtu aibe kura zote hzi?? Haimake sense chadema kaeni chinii mjue shida ipo wapi, jipangeni sio kulalamika wakati kura hukupig.
Kuzomewa kwenye kampeni mbona ni kitu cha kawaida sana? Huoni wizi wa kutisha wa kura fake!?