AGITATOR
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 4,911
- 6,146
Ni lini Chadema waliwahi kukubali Matokeo?. Wakubali, wakatae, walie wanue Tanzania ni zaidi ya chadema. Wengi wape.Lissu awe mstaarabu akubali matokeo maana hii ya kuanza kupitapita kabla matokeo hayajatangazwa ni dalili ya kutokubali kuyapokea matokeo.
Je wabunge wake (endapo watashinda) watatoka Bungeni siku ya kulizindua?
Amen