The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 820
Ameita waandishi wa habari eti anasema huu siyo uchaguzi ni uharamia πππ
Kwa hiyo serikali na wananchi wake waliandaa uharamia siyo uchaguzi...huyu jamaa anadharau sana yani.
Eti anaomba jumuiya za kimataifa na za kikanda kama EAC na SADC ziingilie kati.. Anadhani kwamba hizi jumuiya ndiyo waamuzi wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania eti eee..
Aende The Huge...maana akiwa Tunduma pale kwenye kampeni zake alijaza uwanja sana akaanzaa kumtukana Rais na Majenerali wa Jeshi kuwa wakicheza na uchaguzi huu wataishia The Huge... Aende sasa tuone kama watakuja kuitoa serikali iliyowekwa na watanzania Madarakani.
Kujua sana kwako sheria kusikufanye uwadharau Watanzania...si umeona sasa walichokufanyia kwenye Box la Kura...
Kwa hiyo serikali na wananchi wake waliandaa uharamia siyo uchaguzi...huyu jamaa anadharau sana yani.
Eti anaomba jumuiya za kimataifa na za kikanda kama EAC na SADC ziingilie kati.. Anadhani kwamba hizi jumuiya ndiyo waamuzi wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania eti eee..
Aende The Huge...maana akiwa Tunduma pale kwenye kampeni zake alijaza uwanja sana akaanzaa kumtukana Rais na Majenerali wa Jeshi kuwa wakicheza na uchaguzi huu wataishia The Huge... Aende sasa tuone kama watakuja kuitoa serikali iliyowekwa na watanzania Madarakani.
Kujua sana kwako sheria kusikufanye uwadharau Watanzania...si umeona sasa walichokufanyia kwenye Box la Kura...