Wakuu habari,
Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu anazungumza na waandishi wa habari muda huu.
Hiki ndicho anachokisema (Updates)
-Wagombea ubunge wa chama chetu walikatwa, hii ni ishara moja kuwa uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa na dosari
-Tumefanya kampeni nyigi kuliko zile za mgombea wa Chama cha Mapinduzi
-Msafara wangu wa Kampeni za urais ulikuwa na magari sita tu, magari mawili ya waandishi wa habari, na magari mengine manne, yakiwamo mawili ya walinzi
-Watanzania walitupokea kwa upendo mkubwa, walitupa maji, chakula mafuta
Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu anazungumza na waandishi wa habari muda huu.
Hiki ndicho anachokisema (Updates)
-Wagombea ubunge wa chama chetu walikatwa, hii ni ishara moja kuwa uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa na dosari
-Tumefanya kampeni nyigi kuliko zile za mgombea wa Chama cha Mapinduzi
-Msafara wangu wa Kampeni za urais ulikuwa na magari sita tu, magari mawili ya waandishi wa habari, na magari mengine manne, yakiwamo mawili ya walinzi
-Watanzania walitupokea kwa upendo mkubwa, walitupa maji, chakula mafuta