Baada ya mumeo Bashite kufurushwa toka dsm naona unawaya waya tu
Wametumia busara kubwa, leo hakuna ambaye angeliogopa risasi!kama polisi wangeingilia basi leo wangekufa maelfu ya watu!
Angalau umekiri kuna nyomi, wenzako walikuwa wanasema Chadema huwa wanaandamana mitandaoni tu.Ndio mjue polisi walivyokuwa wastaarabu na walivyovumilia kuna abiria wanaweza kosa ndege zao leo watu hawana ustaarabu kabisa njia zote wanapita wao awajali shughuli za wengine; uwanjani wamejazana sijui ata abiria wengine waliingilia wapi.
Unaweza elewa furaha ya wana CDM lakini wajifunze ustaarabu kuna maisha ya wengine nje ya excitement zao hapo sasa wakitawanywa si watasema wanaonewa wakati clearly kuna breach of peace.
Malofa ya mwaka huu yameamka,yamechoshwa na chama cha walevi na wazinzi na udikteta wa mwenyekiti wao na yatakuwa busy kutimiza kauli ya Mheshimiwa JPM ya hapa kazi2.Zile kura milioni sita walipiga hao hao malofa malofa wana muda mwingi sana kuliko ma boss na ndio wapiga kura,
Naona unakata mauno hapo na maboko likoloo...
Aaah kumbe ndiyo wewe nakuona hapo busy kama mwandishi wa habari,kama mgombea wa Chauma nakupongeza sana
.
Bajameni.. kata wewe..
Leo kuhuzuni msiba na kufuraha ya chama tawala..
Bamewaweza..
Hao walioenda kumpokea wanatoka mitaa ipi?Huku mtaani maisha yanaendelea kama kawaida. Hakuna mtu ana muda na msaliti wa taifa. Tunasikitika kumpoteza mzee wetu mpendwa Mkapa.
Siasa siyo Uadui
Siasa ni sayansi
Hongereni Chadema kwa mshikamano, nipo hapa kona ya vingunguti natathmini " pumzi" yenu.
Maendeleo hayana vyama!
Teh teh teh buku 7 FC umetoka airport?
Hamna madhara hapo...Wametumia busara kubwa, leo hakuna ambaye angeliogopa risasi!
Acheni Mungu awe Mungu
Mkuu, LISU hana madhara kwa sasa. Tumeshamzingira kila kona. CHADEMA kwa sasa imeshapoteza mvuto wa kisia
Ilishakufa au ilishapoteza mvuto? Maana mlisema 2020 itakuwa imefutika. You keep changing your statements like lunatics.
Kuna jamaa hapa nimemjulisha kuwa TL keshatua, amebubujika machozi hadharani!Ni watu wachache waliowahi kuniliza baada ya kupata madhira. Nyerere, Princess Diana, Lissu(siku 3 mpaka niliposikia anaendelea vizuri)
Huu uwanja ni wetu sote,umejengwa kwa kodi zetu sote, sasa tufanye fujo za nini.