daizouh
JF-Expert Member
- Mar 13, 2020
- 464
- 496
Duuuu
Duuuu
Wewe ndo umemaliza kila kitu.Hii mvua ndogo wala si ya kutisha ila uholela wa wakazi. Hivi ingekuwaje kama zikija zile mvua za vimbunga kama katrina storm ambazo huwa zinapiga huko marekani na nchi za huko carribean au zinazopiga huko China ambazo huangusha hadi magorofaNyie watu wa dar hayo sio mafuriko bali ni matokeo ya ujenzi wa hovyo hovyo, ujenzi holera, jiji halina mpangilio mnategemea maji yapite wapi? Na msipopangilia ujenzi wenu siku moja tutakuja kuwaokota baharini.
Sioni mkoa mwingine wakilalamika mafuriko tofauti na dar, mvua ya dakika tano tu ati mafuriko, je ikinyesha siku nzima si nyumba zenu itakuwa makazi ya samaki na papa wa baharini?.
Alisema msomi mmoja "uwezo wa ubongo wa mwanaadamu asili yake kama umejikuja au umejinyongorota lakini ukikunjuliwa unaweza kutoka hapa Afrika mpaka bara Amerika na kurudi kama round nne hivi"Najua hili na nilikuwa namwonyesha mjinga mmoja kwamba binadamu tumepewa uwezo wa kufanya makubwa na siyo kila kitu ni kudra za Mungu.
wapi humu? 😀
Mitaro midogo,halafu 2007/8 pale walituambia wanapanua mitaro,mjini ikawa foleni..lakini hakuna loloteWewe ndo umemaliza kila kitu.Hii mvua ndogo wala si ya kutisha ila uholela wa wakazi. Hivi ingekuwaje kama zikija zile mvua za vimbunga kama katrina storm ambazo huwa zinapiga huko marekani na nchi za huko carribean au zinazopiga huko China ambazo huangusha hadi magorofaView attachment 2806057
Mtu anayetoka hapo anaenda kurasini apite wapi?Ukonga Banana hapa gari haziendi Gongo la Mboto wala Mjini.
Mkandarasi amechimba chimba barabara.
Ni zaidi ya saa (li)moja sasa toka Airport gari haijafika Gongo la Mboto
Michenzani mall. ZanzibarSuper market gani hii?
Si ya kucheka mkuu. Zanzibar hio. Kuna supermarket ipo Michenzani Mallwapi humu? 😀
Zanzibar hio, ofisi za TRA mlandegehapa ni wapi
Balaa zito hiloZanzibar hio, ofisi za TRA mlandege
Haya magari si yatajaa maji
Aiseee!