sajumo
JF-Expert Member
- Nov 20, 2013
- 1,832
- 1,048
Katika nchi nyingi ushoga n uhalifu na ni dhambi pia kwa mungu yeye anaposema sio uhalifu anakosea na anakosoa nchi zinazopinga ushoga yaan hizo nchi zitakua zinapingana na msimamo wabkanisa pili anaposema mashoga ambao n watenda dhambi wasidharauliwe kwa maana nao wapo sawa na ss ni kuifanya dhamb hii kuwa ya kawaidaUmeelewa kilichoandikwa? Au unasoma lakini uelewa ndiyo shida?
Badala ya kujishughulisha na hoja wewe unaanza kydandia watu ili wakubebe na utabebwa kweli.
Yeye amesema hilo tendo siyo uharifu bali ni dhambi.
Kuna mambo yanatafsiri uharifu, na dhambi ina tafsiri yake.
Haya hebu wewe tutafsirie uharifu wa hao watu?
Wenye uelewe mdogo ndiyo mmejiweka mstari wa mbele kupinga ushoga matokeo yake ninyi ndiyo chambo mnadakwa kilaini kabisa na kumegwa kimasikhara.
Nna mwalimu wangu alinifundisha katika com skills unapaswa usikilize yanayosemwa kwa wingi yanayosemwa kwa uchache na yale ambayo hayajasemwa yote uyasikilize