Askofu aliyesema Bora abariki Jiwe kuliko ndoa za jinsia moja kaongea kauli ileile ya Papa kwa Lugha tofauti

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,592
15,387
Kwa mujibu wa wachambuzi wa kauli za Papa. Wanadai hajasema ndoa za jinsia moja zibarikiwe, bali vitu vya hawa watu akija mmojammoja na anavitu vyake basi wasisite kuvibariki.

Kusema bora ubariki jiwe ni sawa na kusema kilekile alichokisema Papa kuwa bora ubariki Sofa au Mradi au nyumba ya mpenzi wa jinsia moja kuliko kubariki mapenzi yao.

Kimsingi binafsi napinga vyote viwili kubariki ndoa au vitu vya shoga ambaye hajakubali kuachana na uLgbtq+ wake.

Tukumbuke Yesu hakumbariki yule mama mzinzi au kubariki madela yake aliyotumia kuwatega mafarisayo. Alimpa agizo la kuacha uzinzi.

Hata mimi sikuhukumu, Ondoka zako usitende dhambi tena
Shirikisho la wenye viburi (LGBTQ+) wao wanapambana watambulike kama tunavyotambua walemavu au yatima sio kutubu na kuacha mambo hayo ya kihuni.

Hii ndio tofauti na wadhambi wengine wanapokuja kwenye madhabahu na toba zao.
 
Kwa mujibu wa wachambuzi wa kauli za Papa. Wanadai hajasema ndoa za jinsia moja zibarikiwe, bali vitu vya hawa watu akija mmojammoja na anavitu vyake basi wasisite kuvibariki.

Kusema bora ubariki jiwe ni sawa na kusema kilekile alichokisema Papa kuwa bora ubariki Sofa au Mradi au nyumba ya mpenzi wa jinsia moja kuliko kubariki mapenzi yao.

Kimsingi binafsi napinga vyote viwili kubariki ndoa au vitu vya shoga ambaye hajakubali kuachana na uLgbtq+ wake.

Tukumbuke Yesu hakumbariki yule mama mzinzi au kubariki madela yake aliyotumia kuwatega mafarisayo. Alimpa agizo la kuacha uzinzi.

Hata mimi sikuhukumu, Ondoka zako usitende dhambi tena
Shirikisho la wenye viburi (LGBTQ+) wao wanapambana watambulike kama tunavyotambua walemavu au yatima sio kutubu na kuacha mambo hayo ya kihuni.

Hii ndio tofauti na wadhambi wengine wanapokuja kwenye madhabahu na toba zao.
Kwani huyo papa ni malaika kwamba hakosei??


Mbona mnatumia nguvu kubwa kumtetea??
 
Kwa mujibu wa wachambuzi wa kauli za Papa. Wanadai hajasema ndoa za jinsia moja zibarikiwe, bali vitu vya hawa watu akija mmojammoja na anavitu vyake basi wasisite kuvibariki.

Kusema bora ubariki jiwe ni sawa na kusema kilekile alichokisema Papa kuwa bora ubariki Sofa au Mradi au nyumba ya mpenzi wa jinsia moja kuliko kubariki mapenzi yao.

Kimsingi binafsi napinga vyote viwili kubariki ndoa au vitu vya shoga ambaye hajakubali kuachana na uLgbtq+ wake.

Tukumbuke Yesu hakumbariki yule mama mzinzi au kubariki madela yake aliyotumia kuwatega mafarisayo. Alimpa agizo la kuacha uzinzi.

Hata mimi sikuhukumu, Ondoka zako usitende dhambi tena
Shirikisho la wenye viburi (LGBTQ+) wao wanapambana watambulike kama tunavyotambua walemavu au yatima sio kutubu na kuacha mambo hayo ya kihuni.

Hii ndio tofauti na wadhambi wengine wanapokuja kwenye madhabahu na toba zao.
Aisee kuna watu wanavichwa vigumu kuelewa. Mbona kauli ya Askofu iko wazi kabisa.
 
Kwa mujibu wa wachambuzi wa kauli za Papa. Wanadai hajasema ndoa za jinsia moja zibarikiwe, bali vitu vya hawa watu akija mmojammoja na anavitu vyake basi wasisite kuvibariki.

Kusema bora ubariki jiwe ni sawa na kusema kilekile alichokisema Papa kuwa bora ubariki Sofa au Mradi au nyumba ya mpenzi wa jinsia moja kuliko kubariki mapenzi yao.

Kimsingi binafsi napinga vyote viwili kubariki ndoa au vitu vya shoga ambaye hajakubali kuachana na uLgbtq+ wake.

Tukumbuke Yesu hakumbariki yule mama mzinzi au kubariki madela yake aliyotumia kuwatega mafarisayo. Alimpa agizo la kuacha uzinzi.

Hata mimi sikuhukumu, Ondoka zako usitende dhambi tena
Shirikisho la wenye viburi (LGBTQ+) wao wanapambana watambulike kama tunavyotambua walemavu au yatima sio kutubu na kuacha mambo hayo ya kihuni.

Hii ndio tofauti na wadhambi wengine wanapokuja kwenye madhabahu na toba zao.
Mambo ya kihuni yapi wakati muhuni ni mtu ambaye hajaoa?
 
Leo katika hii dunia ya wazungu,
sisi weusi tunafata haya maisha yao ya kufuata dini zao, elimu yao na teknologia yao...
Wanatuambia mmetutaka usawa wa kuanzia mweusi na mweupe, mwanaume na mwanamke, sasa mkubali yote yanayofungama na neno usawa...... maana hata nyinyi weusi tunajaribu kuwapa usawa kwahiyo mkubali usawa kwa mazima sio mnachagua usawa mnaoutaka nyinyi....
Wanasema huu Ukristo tumewaletea sisi, sio wayahudi, kwahiyo tunaamua ni nini kifanyike, nyie kama hamuwezi mmteme bungo.....
 
Kwa mujibu wa wachambuzi wa kauli za Papa. Wanadai hajasema ndoa za jinsia moja zibarikiwe, bali vitu vya hawa watu akija mmojammoja na anavitu vyake basi wasisite kuvibariki.

Kusema bora ubariki jiwe ni sawa na kusema kilekile alichokisema Papa kuwa bora ubariki Sofa au Mradi au nyumba ya mpenzi wa jinsia moja kuliko kubariki mapenzi yao.

Kimsingi binafsi napinga vyote viwili kubariki ndoa au vitu vya shoga ambaye hajakubali kuachana na uLgbtq+ wake.

Tukumbuke Yesu hakumbariki yule mama mzinzi au kubariki madela yake aliyotumia kuwatega mafarisayo. Alimpa agizo la kuacha uzinzi.

Hata mimi sikuhukumu, Ondoka zako usitende dhambi tena
Shirikisho la wenye viburi (LGBTQ+) wao wanapambana watambulike kama tunavyotambua walemavu au yatima sio kutubu na kuacha mambo hayo ya kihuni.

Hii ndio tofauti na wadhambi wengine wanapokuja kwenye madhabahu na toba zao.
Kama hujaelewa alichosema askofu, Wewe utakuwa bwabwa
 
Papa hatatambua msimamo wa huyu askofu wa geita. Vatican ina majimbo mengi duniani hata yakipiga kura yote, majimbo mengi yatamuunga mkono na hao wachache anaweza kuwafurusha akateua wengine wanaomuunga mkono
 
Tatizo ni tafsiri ya lugha aliyotumia

Luka 19:40 "Akajibu, akasema, Nawaambia ninyi, wakinyamaza hawa, mawe yatapiga kelele.​


Ulishawahi sikia mawe yakipiga kelele!?
 
Kwa mujibu wa wachambuzi wa kauli za Papa. Wanadai hajasema ndoa za jinsia moja zibarikiwe, bali vitu vya hawa watu akija mmojammoja na anavitu vyake basi wasisite kuvibariki.

Kusema bora ubariki jiwe ni sawa na kusema kilekile alichokisema Papa kuwa bora ubariki Sofa au Mradi au nyumba ya mpenzi wa jinsia moja kuliko kubariki mapenzi yao.

Kimsingi binafsi napinga vyote viwili kubariki ndoa au vitu vya shoga ambaye hajakubali kuachana na uLgbtq+ wake.

Tukumbuke Yesu hakumbariki yule mama mzinzi au kubariki madela yake aliyotumia kuwatega mafarisayo. Alimpa agizo la kuacha uzinzi.

Hata mimi sikuhukumu, Ondoka zako usitende dhambi tena
Shirikisho la wenye viburi (LGBTQ+) wao wanapambana watambulike kama tunavyotambua walemavu au yatima sio kutubu na kuacha mambo hayo ya kihuni.

Hii ndio tofauti na wadhambi wengine wanapokuja kwenye madhabahu na toba zao.
Ni sawa tu na jambazi anakuja Kwa Padri amebeba AK47 pia anaomba apate baraka,Ili akafanye KAZI yake haramu vizuri.
 
Tatizo ni tafsiri ya lugha aliyotumia

Luka 19:40 "Akajibu, akasema, Nawaambia ninyi, wakinyamaza hawa, mawe yatapiga kelele.​


Ulishawahi sikia mawe yakipiga kelele!?
[/QUOTE.Mawe ni vitu vigumu/majabali. Mawe yatapiga kelele na watu wasioamini kuanza kufanya kazi ambazo walioamini walipaswa kuzifanya ila wakawa hawafanyi. Ni watu wenye mioyo migumu kuamini
 
Binafsi ninchoamini mpaka sasa, Kanisa Katoliki halina tofauti na mti mzuri wenye matunda. Yaani kila mpita njia mwenye njaa kali, basi anaona ni haki yake kuupopoa mawe ili tu kupata hayo matunda.
 
Kamati za ufafanuzi za wafia dini.

Baba mtakatifu papa Francis ameagiza kanisa katoliki tubariki ndoa za mashoga. Hilo liko wazi.

Wakatoliki ni jambo la muda tu kuanza kutekeleza hayo maelekezo.

Anaeona hawezi aondoke aachane na kanisa la baba mtakatifu papa Francis.

Sina mashaka kwamba baba mtakatifu papa Francis kuna mtu anamshikisha ukuta.
 
TEC ya Bongo ni nzito kuliko TEC nyingine Duniani,Tz ni ya kimkakati Dana kbla hujmpinga mpinga kristo jiulize nguvu zako za kiroho ni kubwa kiasi Gani!!
 
Back
Top Bottom