Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Papa kwa sasa ni mzee sana, anapaswa kuepuka kuweka misingi ya kesho ya Dunia hasa pale anapotakiwa kutoa msimamo wake kuhusu mambo yenye utata.
Naamini wapo watu wanatumia vibaya uzee wake. Wapo watu ndani ya Vatcan wana ndoa wanatafuta msamaha wa Mungu kwa kuweka misingi ya kubarikiwa kwa kuwekewa mikono.
Papa alipaswa kutoa msimamo wake kwa kuzingatia vitabu vitakatifu na kuzingatia ukweli kwamba hakuna binadamu anayefuta dhambi. Mtu akiua akaenda kwa Padre kumweleza haimaanishi kwamba dhambi yake imefutika. Dhambi ipo pale pale na itaambatana na kizazi chake. Sawasawa na mtu anaposema afanye mapenzi ya jinsia moja au kinyume cha maumbile kisha akatakaswe na padri au papa. That will never serve sins........
Kanisa liweke makatazo ya wazi kwa hawa viongozi wazee na wanaoongoza taasisi. Ifike wakati tusifungwe na katiba za kanisa tufungwe na maandiko matakatifu.
Hongereni KKKT na SDA kwa kusimama katika haki kipindi hiki cha mabeberu kutaka kuvamia dini kwa kigezo cha uchumi.
Naamini wapo watu wanatumia vibaya uzee wake. Wapo watu ndani ya Vatcan wana ndoa wanatafuta msamaha wa Mungu kwa kuweka misingi ya kubarikiwa kwa kuwekewa mikono.
Papa alipaswa kutoa msimamo wake kwa kuzingatia vitabu vitakatifu na kuzingatia ukweli kwamba hakuna binadamu anayefuta dhambi. Mtu akiua akaenda kwa Padre kumweleza haimaanishi kwamba dhambi yake imefutika. Dhambi ipo pale pale na itaambatana na kizazi chake. Sawasawa na mtu anaposema afanye mapenzi ya jinsia moja au kinyume cha maumbile kisha akatakaswe na padri au papa. That will never serve sins........
Kanisa liweke makatazo ya wazi kwa hawa viongozi wazee na wanaoongoza taasisi. Ifike wakati tusifungwe na katiba za kanisa tufungwe na maandiko matakatifu.
Hongereni KKKT na SDA kwa kusimama katika haki kipindi hiki cha mabeberu kutaka kuvamia dini kwa kigezo cha uchumi.