Hakuna kitu kimenikera kama barakoa za nembo ya chama yaani wanatumia majanga kujitafutia umaarufu...very stupid!!
 
Hamna Covid 19 self test kit.

Amandla......
 
Watu wengi wanakufa kwa hofu ya corona,maana imefika hatua sasa hivi mtu akijihisi anaumwa tu anaiwaza corona na kila kifo sasa hivi ni corona.
 

Unafahamu undani kwa nini zimekataliwa? Wacha majungu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…