Yofav
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 3,956
- 6,887
Kuna wanaume wanatetea humu, Hatukatai wao kuangalia na kuchagua wenye nazo Ila twende mbele turudi nyuma, Je, wenye nazo na wasionazo wapi no wengi? Je, bila hela wanamaanisha Mapenzi hakuna?Utawasikia nataka mwanaume anitunze, anipende anipe pesa...yeye mwenyewe ameshindwa kujitunza mpaka kuoipoteza ile kitu kwa wahuni, kama unataka matunzo baki kwa wazazj wako wawe wanakupa pocket money