Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 1,248
- 3,967
naomba unitag kama hutojaliPoa ntaweka
naomba unitag kama hutojaliPoa ntaweka
Nimeshangaa sana aisee!Sikiliza rafiki, nakubali ni UFALA tena mkubwa sana pia mimi vivyo hivyo ni FALA sana.
Ila naomba unisaidie tu kunionyesha ujanja wako ulipo, ili niwe nalala na mamilioni kila siku kama wewe.
By the way, hii ni dalili ya depression, nervous, illiteracy na destitution. After all, you can't buy my time, I'm a little distant from you in all aspects.
Be met with a psychiatrist for your psychopath and apprehension. Be advised you dumb ass
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Poa mkuu usiwazenaomba unitag kama hutojali
Hivi kwanini unapost mikeka ya watu kutoka twitter bila kibali??poleni wandugu, leo nmekua busy sana sasa nacheck hapa kumbe morning sikupost humu pia , sjui nilisahau aje na nilijua nishapost , aisee takua na double check
nlokua nadhani nmepost imebooooom aisee, poleni but kesho pia ni siku, tapost mapema na ta double checkView attachment 2851194
Edited BE82ED27763A7E
Uwe unatengeneza code zako mwenyewe na wewe!...Edited BE82ED2
Nina mkeka unaanza leo wa hii option, odds milioni 1 na laki mbili. Nimetia elfu 25, ni wa mechi 32.Kuna option ya both teams to score both halves - No/No nimeistudy nimeiona ina lipa zaidi. Twende yao kipindi cha mwisho wa mwaka.
Angalizo - hii option usiende nayo vilabu vya Ujerumani na Uhispania; huko wanafungana sana kijinga.
hio code unanywea chai?Nina mkeka unaanza leo wa hii option, odds milioni 1 na laki mbili. Nimetia elfu 25.
Kampuni gani mkeka tuma code...Nina mkeka unaanza leo wa hii option, odds milioni 1 na laki mbili. Nimetia elfu 25, ni wa mechi 32.
Nakubali tajiriHivi kwa akili ya kawaida unahisi wewe una pesa ya kutapeliwa na mimi serious? Kwa hizo stake zako za 100 na 200?
Sawa tufanye mimi ni wakala wa Kanji then? nani nimewahi muomba pesa humu ajitokeze aweke ushahidi? Huoni kuwa kuna kiasi kikubwa cha ujinga kichwani mwako kiasi cha kujinasibisha na wanawake kwa kutumia DP za kike? unataka kutongozwa?
Unakijua kipato changu kwa siku, week na mwezi? yaani wewe mjinga mmoja uko huko Mbagala Chalambe, hata kuandika tatizo, uje utapeliwe na mimi ninaevuta pumzi moja na kina Bilgate na Elon Musk. Unamaanisha mimi sina hata huruma ya kuwahurumia masikini design yako?
Naomba tuweke hapa ushahidi wa vipato vyetu ili tuone nani ana shida na pesa hadi atapeli. Unadhani na bet kwa njaa? Hiyo laki unaona kubwa?mbona ndio stake zangu na naipata kwa kufanya kazi kwa masaa 2 tu kati ya 10 ninayofanya kwa siku?
Ndio maana JITU BANDIA anawatukana kila siku humu jukwaani kuna wapumbavu wengi mno.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
wacha namimi niumize kichwa jana nimkufata nikaishia kupigwa za usoTip 2
Motherwell FC vs
Rangers - away win
Fenerbahce Istanbul vs
Galatasaray Istanbul - ov 1.5
Cape Town City FC vs
Mamelodi Sundowns - away over 0.5
Neftchi Baku PFC vs
FK Kapaz - home win either half
Hapoel Hadera FC vs
Maccabi Haifa FC - away win either half
3.53 Odds
well tukutane mpesa na tukanunue ma wine na ma kuku ya kutosha for tomorrow
Kutoa maneno machafu humu jukwaani inaonyesha jinsi ulivyo kwenye maisha halisi .Umeamua umsaidie basha mwenzio haya mfateni mfalme wetu yeye ndio anazibua mitaro yote Mimi hapana
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Fanya kushare wakulungwa tudandie treni hilo bossNina mkeka unaanza leo wa hii option, odds milioni 1 na laki mbili. Nimetia elfu 25, ni wa mechi 32.