Abby Uladu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 2,031
- 4,238
screenshot tutaunga wenyewePremier bet. Hii kampuni kwa sasa huwezi generate codes
Utume kama ni sportybet
Hii option inapatikana kampuni gani?Wakuu hii option Ina Maana Gani?View attachment 2851531
Naona inajieleza hapo, timu moja pekee itafunga angalau goli moja katika kila kipindiWakuu hii option Ina Maana Gani?View attachment 2851531
1XbetHii option inapatikana kampuni gani?
Haina mkangajanyiko, Imenyoka kama ilivyo. Timu moja pekee (utakayochagua) ipate goli kila kipindi. Unachagua NDIYO au HAPANA.Wakuu hii option Ina Maana Gani?View attachment 2851531
Namba ya simu uliweka ipi uliyosajilia?Greatest Of All Time mkuu mbona mimi nikitaka kutoa sipati confirmation code ili niweze kuendelea. Hebu nipe maelezo mkuu natakiwa nifanyaje hapoView attachment 2851420
nasubiria ujueNamba ya simu uliweka ipi uliyosajilia?
Fc Balkani... Siku hizi washambuliaji wake wote Wana matege!?... Wamekuwaje!?.... Hawajui kufunga!?.... Hii timu imeflop sana!.... Imebaki jina tu.
Ukweli 100 %.Humu was3nge wengi kweli, code mnazokula hampost humu afu ukila unakuja humu eti booom!! Bumu ya nyoko au umekuwa mwanachuo. Kama hujapost code ukila usipost pia ndio maana watu weusi hatuendelei Kwa ubinafsi
mabesti zako ni wehu wehu tubest matusi ya nini tena
Niliyosajilia but now the issue is solved. Nafkri ilikuwa ni isue ya network sijui msg zimeingia nyingi mfululizo zilizokuwa zinagoma b4Namba ya simu uliweka ipi uliyosajilia?
kwamba ukiweka win ya simba sportybet utakula ila sportpesa utaliwa?Wakuu nataka nibadili upepo kidogo, huku Sport pesa nimechezea virungu sana, Sportsbety ipoje kwenye deposit na withdraw??