Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,674
- 3,724
Kwahiyo tabia za kidada zikoje? Unamtukana mama yako mzaziUna asili ya watu wajivuni na maringo we mshamba.Acha hizo tabia za kidada
Kwahiyo tabia za kidada zikoje? Unamtukana mama yako mzaziUna asili ya watu wajivuni na maringo we mshamba.Acha hizo tabia za kidada
Umebutua jackpot ya gemu 13?Wakuu habari za usiku,Nilikuwa na mkeka wa jackpot ya sportpesa zilibaki game mbili za jana na zimeshinda ila mkeka umefutwa katika history yangu,nichukue hatua gani pls,atakayefanikisha atapata mgao maana dau lilikuwa karibu 570m
Ndio ila mkeka umetoweka aupo kwenye rekodi yoyoteUmebutua jackpot ya gemu 13?
Ile jackpot ina mil 600 kasoro. Bila shaka utaipata mkuu, hakikisha simu iko full chaji utaitwa ukakabidhiwe, hela kubwa lazima uende palepale, full makamera! tena kama uko mkoani wanakuja kukuchukua na chopa.Ndio ila mkeka umetoweka aupo kwenye rekodi yoyote
Mmmh wameanza ujanja ujanja haoWakuu habari za usiku,Nilikuwa na mkeka wa jackpot ya sportpesa zilibaki game mbili za jana na zimeshinda ila mkeka umefutwa katika history yangu,nichukue hatua gani pls,atakayefanikisha atapata mgao maana dau lilikuwa karibu 570m
Sasa kwann mkeka aupo popoteIle jackpot ina mil 600 kasoro. Bila shaka utaipata mkuu, hakikisha simu iko full chaji utaitwa ukakabidhiwe, hela kubwa lazima uende palepale, full makamera! tena kama uko mkoani wanakuja kukuchukua na chopa.
Umeuaga umasikini kama ni kweli.
Mtu wa mwisho kubutua ni jamaa wa sumbawanga mil 200.
huna baya
Ukibet jackpot wanakutumia mkeka kwenye meseji kwenye simu yako kwani hiyo mikeka uliyobeti haukutumiwa meseji ya mikeka yako??Wakuu habari za usiku,Nilikuwa na mkeka wa jackpot ya sportpesa zilibaki game mbili za jana na zimeshinda ila mkeka umefutwa katika history yangu,nichukue hatua gani pls,atakayefanikisha atapata mgao maana dau lilikuwa karibu 570m
Kwa mfano Mimi nilibet nikatumiwa meseji hii "" You've placed JACKPOT BetID JHGSP1 X#X#1#2#2#1#X#X#1#2#X#X#2 for Tzs1000. Your S-PESA available balance is Tzs10. Games resulted on Full TimeUkibet jackpot wanakutumia mkeka kwenye meseji kwenye simu yako kwani hiyo mikeka uliyobeti haukutumiwa meseji ya mikeka yako??
Wapigie huduma kwa wateja waeleze tatizo hilo watakutatulia..Wakuu habari za usiku,Nilikuwa na mkeka wa jackpot ya sportpesa zilibaki game mbili za jana na zimeshinda ila mkeka umefutwa katika history yangu,nichukue hatua gani pls,atakayefanikisha atapata mgao maana dau lilikuwa karibu 570m
Mm navyojua kama ukitaka kuona mkeka wako unaenda pale kwenye filter halafu unaclear filters ndo inakuja ile jackpot yako. Nimewahi kupata access hiyo baada ya kushinda bonus ya 11/15 .Wakuu habari za usiku,Nilikuwa na mkeka wa jackpot ya sportpesa zilibaki game mbili za jana na zimeshinda ila mkeka umefutwa katika history yangu,nichukue hatua gani pls,atakayefanikisha atapata mgao maana dau lilikuwa karibu 570m
Unaingia kwenye bet history kama kawaida then unagusa kule juu kulia kwenye filter (chujio) then unachagua hapo kwenye pick an option kisha unachagua won. Unamalizia na apply filter. Hapo utauona mkeka View attachment 2645271Wakuu habari za usiku,Nilikuwa na mkeka wa jackpot ya sportpesa zilibaki game mbili za jana na zimeshinda ila mkeka umefutwa katika history yangu,nichukue hatua gani pls,atakayefanikisha atapata mgao maana dau lilikuwa karibu 570m
Umetisha sana mkuu.
Hongera kwa aliyefata hii.Mpe Yanga over 0.5