Wanapata mkuuHawa USM kupata goli mbili wataweza? wamepewa odds 2.
Hawa USM wanaondoka na 50k yangu, nimewaomba goli 2 ila sasa dah! Nikajua ntaamka na 100k...Wanapata mkuu
Wewe ni jinsia gani?kea hiyo kufuatia ilo tukio lako ndo ukaja na hiyo conclusion yako?
Kwahiyo tabia za kidada zikoje? Unamtukana mama yako mzaziUna asili ya watu wajivuni na maringo we mshamba.Acha hizo tabia za kidada
Umebutua jackpot ya gemu 13?Wakuu habari za usiku,Nilikuwa na mkeka wa jackpot ya sportpesa zilibaki game mbili za jana na zimeshinda ila mkeka umefutwa katika history yangu,nichukue hatua gani pls,atakayefanikisha atapata mgao maana dau lilikuwa karibu 570m
Ndio ila mkeka umetoweka aupo kwenye rekodi yoyoteUmebutua jackpot ya gemu 13?
Ile jackpot ina mil 600 kasoro. Bila shaka utaipata mkuu, hakikisha simu iko full chaji utaitwa ukakabidhiwe, hela kubwa lazima uende palepale, full makamera! tena kama uko mkoani wanakuja kukuchukua na chopa.Ndio ila mkeka umetoweka aupo kwenye rekodi yoyote
Mmmh wameanza ujanja ujanja haoWakuu habari za usiku,Nilikuwa na mkeka wa jackpot ya sportpesa zilibaki game mbili za jana na zimeshinda ila mkeka umefutwa katika history yangu,nichukue hatua gani pls,atakayefanikisha atapata mgao maana dau lilikuwa karibu 570m
Sasa kwann mkeka aupo popoteIle jackpot ina mil 600 kasoro. Bila shaka utaipata mkuu, hakikisha simu iko full chaji utaitwa ukakabidhiwe, hela kubwa lazima uende palepale, full makamera! tena kama uko mkoani wanakuja kukuchukua na chopa.
Umeuaga umasikini kama ni kweli.
Mtu wa mwisho kubutua ni jamaa wa sumbawanga mil 200.
huna baya
Ukibet jackpot wanakutumia mkeka kwenye meseji kwenye simu yako kwani hiyo mikeka uliyobeti haukutumiwa meseji ya mikeka yako??Wakuu habari za usiku,Nilikuwa na mkeka wa jackpot ya sportpesa zilibaki game mbili za jana na zimeshinda ila mkeka umefutwa katika history yangu,nichukue hatua gani pls,atakayefanikisha atapata mgao maana dau lilikuwa karibu 570m
Kwa mfano Mimi nilibet nikatumiwa meseji hii "" You've placed JACKPOT BetID JHGSP1 X#X#1#2#2#1#X#X#1#2#X#X#2 for Tzs1000. Your S-PESA available balance is Tzs10. Games resulted on Full TimeUkibet jackpot wanakutumia mkeka kwenye meseji kwenye simu yako kwani hiyo mikeka uliyobeti haukutumiwa meseji ya mikeka yako??