Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,138
- 14,559
Hapo vp...
Haka kaoption kazuri sana. Presha yake ni ndani ya dakika 1 kama kifo cha risasi tu, sio unaipa timu ishinde halafu mpaka dakika ya 60 ishakula 3:0!Dakika mbili za nyongeza kipindi cha kwanza fainali ya FA Cup
RLPE1 - 1xbet
Haka kaoption kazuri sana. Presha yake ni ndani ya dakika 1 kama kifo cha risasi tu, sio unaipa timu ishinde halafu mpaka dakika ya 60 ishakula 3:0!
Unaanza kuteseka kwa matumaini kwa dk 30 nzima ili irudishe na kushinda.
Hio tatu hio mzee
Mmeanza kuwehukaEWE MWANANCHIIIII HAKIKA LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUDHIHIRISHIA ULIMWENGU KWAMBA YANGA NI KUBWA KIASI GANI NA TUNA UKUBWA KIASI GANI KATIKA SOKA.
NAJUA KUNA WATU HAWATA PENDA HISTORIA TUNAYOENDA KUIANDIKA LEO HII.
NIKUOMBE TU KAMA HUNA USTAHMILIVU NA TIMU YA YANGA USIANGALIE MECHI YA LEO.
MECHI HII NI KWA AJILI YA WABOBEZI WA SOKA.
Dakika mbili za nyongeza kipindi cha kwanza fainali ya FA Cup
RLPE1 - 1xbet
Hii imetiki
Yah mwendo wa dua tuu mkuuHii imetiki
Bado ya Man City apate goli 2
Huenda akafunga maana mziki wake si wakitotoYah mwendo wa dua tuu mkuu
Goli lipo mkuu ni suala la muda tuHuenda akafunga maana mziki wake si wakitoto
Tayari aiseeeGoli lipo mkuu ni suala la muda tu
Mpe Yanga over 0.5Game ya yanga vipi wadau naona wa nyumbani odds nzuri
Safi mkuu🙌🏽Tayari aiseee
Sabato Njema
Anashinda na 3+Game ya yanga vipi wadau naona wa nyumbani odds nzuri