CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
Naoa wote hapo ila tu mwanamke ambae sitoweza kumuoa
ni mwanamke mshirikina au aliewahi kwenda kwa mganga wa kienyeji
kwa swala lolote lile, kiafya,kiuchumi,nk kama ashawahi tia maguu kwa Mganga
wenyewe siku hizi wanamwita ''mtaalam'' asee sioi aina hiyo ya mwanamke ila hao
wengine wote naoa yani sijaona sifa hata 1 hapo ya kunifanya nighairi ndoa kwa nitakaempenda.
ni mwanamke mshirikina au aliewahi kwenda kwa mganga wa kienyeji
kwa swala lolote lile, kiafya,kiuchumi,nk kama ashawahi tia maguu kwa Mganga
wenyewe siku hizi wanamwita ''mtaalam'' asee sioi aina hiyo ya mwanamke ila hao
wengine wote naoa yani sijaona sifa hata 1 hapo ya kunifanya nighairi ndoa kwa nitakaempenda.