Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Naona wakala wa shetani yuko kazini. Ni nguvu za giza dhidi ya nguvu za Mwenyezi Mungu. Na unajua nani atashinda? Bado kidogo mtajua
 
Naona wakala wa shetani yuko kazini. Ni nguvu za giza dhidi ya nguvu za Mwenyezi Mungu. Na unajua nani atashinda? Bado kidogo mtajua

Na hao wanaolalamikia ndoa zao huko mtaani ni mawakala wa nini?

#YNWA
 
Hapana. Mwanamke ana hisia, mwanaume ana akili. Hisia ikiendesha akili matokeo yake ni vurugu tupu. Akili ndiyo inayopaswa kusimamia na kuziongoza hisia.

Kwahiyo mnaoa wasio na akili yaani punguani?

#YNWA
 
Haya haya haya,

Kwa wale mnaotaka kuoa pitieni hapa itakuja kuwasaidia.

Msiseme hatujawaambia.

~ Usioe mwanamke aliyekuzidi umri.
~ Usioe mwanamke aliyetoboa pua.
~ Usioe mwanamke anayevaa shanga kiuno ovyo ovyo.
~ Usioe mwanamke mwenye blich.
~ Usioe mwanamke aliyeachika.
~ Usioe mwanamke anayevaa skin tight.
~ Usioe mwanamke anayevaa miniskirt.
~ Usioe mwanamke asiyependa kusali.
~ Usioe mwanamke mwenye tatuu kwenye paja tako au kiunoni.
~ Usioe mwanamke aliyekuzidi elimu.
~ Usioe mwanamke aliyekuzidi kipato.
~ Finally usioe mwanamke aliyezalia nyumbani.

Ongeza ya kwako tuokoe vijana wenzetu wanaotaka kuoa.
JamiiForums1515046036_513x398.jpg
 
Usioe mwanamke alokuzodi umri........... MWANAUME DHAIFU.

Usioe mwanamke aliyekuzidi Elimu ....MWANAUME DHAIFU

Usioe mwanamke aliyekuzidi kipato ...MWANAUME DHAIFU.

Kutoboa shingo, kuvaa shangaa, sio Uhuni, Wala sio umalaya ... Kwa Mataifa ya Afrika....... Hii ni sehem ya Urembo wa kitamadan .
 
Toa ya Kwanza... Umri sio issue.. Trust me..

Ila SINGO MAZA ndio funga Mwaka....

Usioe mwanamke asiekuomba hela..
Usioe mwanamke aliekuzidi kipato/cheo/mshahara..
Usioe mwanamke mwanasiasa..
Usioe mwanamke mwanausalama wkt wewe sio mwanausalama...
 
Usioe mwanamke anayekuzidi urefu. Hata kwa wanyama beberu siku zote anakuwa giant. Hata kuku hivyo hivyo jogoo anakuwa giant. Ukizidiwa urefu na mwanamke na confidence yako kama mwanaume inashuka
 
aUsioe mwanamke anayekuzidi urefu. Hata kwa wanyama beberu siku zote anakuwa giant. aHata kuku hivyo hivyo jogoo anakuwa giant. Ukizidiwa urefu ana mwanamke na confidence yako kama mwanaume inashuka
 
Usioe mwanamke alokuzodi umri........... MWANAUME DHAIFU.

Usioe mwanamke aliyekuzidi Elimu ....MWANAUME DHAIFU

Usioe mwanamke aliyekuzidi kipato ...MWANAUME DHAIFU.

Kutoboa shingo, kuvaa shangaa, sio Uhuni, Wala sio umalaya ... Kwa Mataifa ya Afrika....... Hii ni sehem ya Urembo wa kitamadan .
Sijui kametokea wapi haka kavulana
 
Back
Top Bottom