Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,502
- 23,582
Halafu kuna wadudu wanamfananisha Mama na Marehemu Muuwaji. Kweli Mama Samia ni chaguo la mungu.
Moja ya hukumu za haki kutolewa ni kuwafukuza wabunge wasio na chama ndani ya bunge, wale Covid 19 wote. Waje mtaani kufa njaa.
CCM wameambiwa waliozoe uongo uongo na fitina sasa ni mwisho. Hakuna kuishi kwa kutumia unafiki.
Moja ya hukumu za haki kutolewa ni kuwafukuza wabunge wasio na chama ndani ya bunge, wale Covid 19 wote. Waje mtaani kufa njaa.
CCM wameambiwa waliozoe uongo uongo na fitina sasa ni mwisho. Hakuna kuishi kwa kutumia unafiki.