Umeme Tanesco wamechukua huku
Ni jambo jema!
Rais Samia atatuvusha kuifikia nchi ya asali na maziwa tumpe ushirikiano.
Atakata moto kama Jiwe, CORONA haijaisha!;!Yuko ndani ya ukumbi wa bunge bwashee!
atavunja bunge leo
Wanabadilisha nguzo mkuu
Mzee Mgaya anasemaje kuhusu hili ???Ni jambo jema!
Rais Samia atatuvusha kuifikia nchi ya asali na maziwa tumpe ushirikiano.
Sawa.
Ngoja tusubiri.
Mama awazibe mdomo wale wanaompangia cha kusema. Naona kina Zitto kule Twitter wanatumia nguvu kubwa kutaka kuingiza ushawishi wa mama aseme nini leo.
Covid 19 haipo Tanzania,Hadi muda huu nawaonea huruma team Barakoa
Ha ha hiyo kauli mbiu ilibamba sana, CCM ni ile ileHakuna jipya hapo zaidi ya maneno matamu tu, utekelezaji wake hubakia kwenye makaratasi.
Nikikumbuka yale "maisha bora kwa kila mtanzania" sijui yaliishia wapi, na ile "Tanzania ya viwanda" nayo sijui iliyeyukia wapi.
Atavunja bunge leo
Dr Isdory Mpango VP wa JMTHivi kwa nini kwenye hotuba ya Rais Samia, Rais wa Zanzibar anetajwa kabla ya Makamu wa Rais wa JMT,. Kiitifaki yupi ni mkubwa hapa....!!?
Mikono ya Wabunge wa CCM baada ya hotuba.View attachment 1760512