Kiukweli mpira wanaocheza wachezaji wetu unashangaza sana pale wanapopoteza sana pasi bila sababu ya msingi....beki anapiga mpira mbele bila kujua anampigia nani

Pia Samatta anawachosha sana wenzie

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Kama wametokea makaburini
Kilamtu na lwake
 
Kwahiyo unaona umeongea kitu cha maana? Acha hizo wewe. Nina sympathize na MastaKiraka pamoja na kwamba hasira zake amepeleka kwa timu ya Taifa kwamba ipoteze mechi.
Hapana, labda umenielewa vibaya, nilikuwa namaanisha kuwa nilijiandaa na huu uhuni wa watu wa Tanesco.

Tanesco ni sehemu kubwa ya wahuni wanoifup hii nchi.
 
Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuingia kucheza Mchezo wake wa kwanza wa AFCON dhidi ya Morocco kwenye mji wa San Pedro, Ivory Coast. Mechi hii itachezwa saa 2:00 usiku

Timu hizo zipo kwenye kundi F ambpo timu nyingine ni Zambia na DR Congo.

Upi utabiri wako wa mechi hiyo?

===========


Timu ya taifa ya #Tanzania ‘TaifaStars’ inatarajiwa kuanza ushiriki wake wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2023) kwa kukipiga dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi F, leo Januari 17, 2024.

Baada ya mechi ya Morocco, Tanzania inayonolewa na Kocha Adel Amrouche inatarajiwa kukutana na Zambia (Januari 21, 2024) kisha dhidi ya DR Congo (Januari 24, 2024).

Jikumbushe historia ya mechi zilizopita baina ya wababe hao wawili; Tanzania 0-2 Morocco (2023), Morocco 2-1 Tanzania (2013), Tanzania 3-1 Morocco (2013), Morocco 3-1 Tanzania (2011), Tanzania 0-1 Morocco (2010).

View attachment 2874722

Dakika ya 29 Morocco 0 - 0

22' Himidi Mao anaoneshwa kadi ya njano

Dakika ya 30 Morocco wanapata goli la kwanza

31' Novatus anaoneshwa kadi ya njano.

Dakika ya 33 Morocco 1 -0 Tanzania

Dakika 38 anatoka Tarryn anaingia Msuva.

HT: Morocco 1 - 0 Tanzania

46' Anaingia Morice Abraham anatoka Mudathir
Hivi huyu dogo anapagwa bado nasikia amechuja sana
 
Pamoja na kwamba tumezidiwa daraja na hawa Morocco lakini kiukweli timu ya taifa bado vingi sana vya kufanya ili kifika levo za wenzetu,timu hata kupiga pasi kumi ni mtihani,Yani pasi tatu mpira unapigwa juu unatoka au unapotea kwa wapinzani.
 
Back
Top Bottom