John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,060
- 1,957
Linaonekana kabisaMkuu unaweza kadiria lile shuti?
Linaonekana kabisaMkuu unaweza kadiria lile shuti?
Kwahiyo unaona umeongea kitu cha maana? Acha hizo wewe. Nina sympathize na MastaKiraka pamoja na kwamba hasira zake amepeleka kwa timu ya Taifa kwamba ipoteze mechi.Mimi hapa kijijini Kibaigwa niliwekeza kwenye jenereta nzuri tu hivyo kuna "continuity" ya umeme.
Kama wametokea makaburiniKiukweli mpira wanaocheza wachezaji wetu unashangaza sana pale wanapopoteza sana pasi bila sababu ya msingi....beki anapiga mpira mbele bila kujua anampigia nani
Pia Samatta anawachosha sana wenzie
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Hapana, labda umenielewa vibaya, nilikuwa namaanisha kuwa nilijiandaa na huu uhuni wa watu wa Tanesco.Kwahiyo unaona umeongea kitu cha maana? Acha hizo wewe. Nina sympathize na MastaKiraka pamoja na kwamba hasira zake amepeleka kwa timu ya Taifa kwamba ipoteze mechi.
Unajiuliza kwa nini timu ina mwalimu. Ni kama walikuwa wanafanya jogging tu wakaingia uwanjani.Kiukweli mpira wanaocheza wachezaji wetu unashangaza sana pale wanapopoteza sana pasi bila sababu ya msingi....beki anapiga mpira mbele bila kujua anampigia nani
Pia Samatta anawachosha sana wenzie
Samatta haombi mipira na akipewa anapoteza...hana tena ile kasi yake aliyokuwa nayoKama wametokea makaburini
Kilamtu na lwake
Hivi huyu dogo anapagwa bado nasikia amechuja sanaTanzania (Taifa Stars) inatarajia kuingia kucheza Mchezo wake wa kwanza wa AFCON dhidi ya Morocco kwenye mji wa San Pedro, Ivory Coast. Mechi hii itachezwa saa 2:00 usiku
Timu hizo zipo kwenye kundi F ambpo timu nyingine ni Zambia na DR Congo.
Upi utabiri wako wa mechi hiyo?
===========
Timu ya taifa ya #Tanzania ‘TaifaStars’ inatarajiwa kuanza ushiriki wake wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2023) kwa kukipiga dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi F, leo Januari 17, 2024.
Baada ya mechi ya Morocco, Tanzania inayonolewa na Kocha Adel Amrouche inatarajiwa kukutana na Zambia (Januari 21, 2024) kisha dhidi ya DR Congo (Januari 24, 2024).
Jikumbushe historia ya mechi zilizopita baina ya wababe hao wawili; Tanzania 0-2 Morocco (2023), Morocco 2-1 Tanzania (2013), Tanzania 3-1 Morocco (2013), Morocco 3-1 Tanzania (2011), Tanzania 0-1 Morocco (2010).
View attachment 2874722
Dakika ya 29 Morocco 0 - 0
22' Himidi Mao anaoneshwa kadi ya njano
Dakika ya 30 Morocco wanapata goli la kwanza
31' Novatus anaoneshwa kadi ya njano.
Dakika ya 33 Morocco 1 -0 Tanzania
Dakika 38 anatoka Tarryn anaingia Msuva.
HT: Morocco 1 - 0 Tanzania
46' Anaingia Morice Abraham anatoka Mudathir
Toto Sukari linaingia.
Kabisa MkuuUnajiuliza kwa nini timu ina mwalimu. Ni kama walikuwa wanafanya jogging tu wakaingia uwanjani.