KAULIZA MUULIZAJI: ‘’KWA NINI MAJINA YA WAASISI WA TANU 1954 YAPO KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA LAKINI WAASISI WA AFRICAN ASSOCIATION 1929 HAYAONEKANI POPOTE?’’
Kijana alichonitafutia ni historia ya Muungano wa Tanzania mwaka wa 1964.
Akanifahamisha kuwa amesoma kitabu cha historia ya...
MAKALA: MZEE MILLINGA MUASISI WA TANU TUTAMKUMBUKA DAIMA
Mzee Constantine Oswald Millinga mmoja wa waasisi wa TANU akiwa na rais Jakaya Kikwete
Na Kassian Nyandindi,
SIKU zote binadamu anapozungumzia jambo la kimaendeleo kuelekea Uhuru wa Tanganyika, amekuwa akitoa taswira au picha ya...
Ngoja nikuambie vyema mpendwa kama hautaki kuelewa basi bishana na mizimu ya nyumbani kwenu.
Hakika njia iliobaki kipindi waasisi wenu wanaijenga imani yenu na kuisambaza ilikuwa ni force na intimidation.
Kipindi Muhamad anaanzisha imani yenu aliwahakikishia imani nyingine za uyahudi na...
Halina ubishi teuzi zote za akina Nape Nnauye, Makongoro Nyerere, Januari Makamba, Ridhiwani Kikwette, Halima Bulembo, Maharage Chande, Vita Kawawa na wengineo wengi zilikuwa ni kulipa fadhila kwa wale wanaoitwa "waasisi wa CCM."
Wateule wote hao hapo na wengine wengi lazima waepita kwa JK au...
Jioni hii imenifikia taarifa kutoka Lindi kuwa Hassan Mohamed Said Kinyozi mmoja katika vijana waliowasha moto wa kupigania uhuru wa Tanganyika Southern Province, yaani Jimbo la Kusini amefariki dunia akiwa na umri wa kiasi cha miaka 90.
Nakumbuka kama jana siku nilipofika Lindi kwa basi dogo...
AFRICAN ASSOCIATION ILIASISIWA MWAKA GANI NA NANI WAASISI WAKE?
Kuna kijana kaniandikia anaomba maoni yangu kuhusu aliyosoma katika kitabu hicho hapo chini "Muungano wa Tanganyika na Zanzibar:
"Baba naomba nikusumbue.
Naomba usome kuanzia ukurasa wa 20 ''Mchango wa Jumuiya Mbalimbali kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.