Rais Samia, Umekwishalipa Fadhila Kwa Waasisi wa CCM, Sasa Fanya Kazi Yako Kama Rais

Huihui2

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
5,277
8,004
Halina ubishi teuzi zote za akina Nape Nnauye, Makongoro Nyerere, Januari Makamba, Ridhiwani Kikwette, Halima Bulembo, Maharage Chande, Vita Kawawa na wengineo wengi zilikuwa ni kulipa fadhila kwa wale wanaoitwa "waasisi wa CCM."

Wateule wote hao hapo na wengine wengi lazima waepita kwa JK au Mzee Makamba.

Maadam umekwishalipa fadhila sasa chapa kazi na uisiangalie makunyanzi. Najuwa kuwa wengi wanafanya vibaya na pengine walistahili kuwa Mahakamani wakijibu tuhuma za ufisadi au uzembe lakini unaogopa kuwapekea huko kwa kuwa ni watoto wa waasisi.

Ushauri wangu wa mwisho kwako ili ufanikiwe ni kama ifuatavyo;

1. Rudia mfumo wa zamani uliokuwapo kabla ya 2015 ambapo kazi zinatangazwa magazetini na Watanzania wenye uwezo wanashindanishwa kupitia Bodi then unapata mtu mwenye uwezo ndiyo unamteua baaday ya Bodi na Waziri kukupa took 3.

Kwa namna hii ukimpata CEO bora ata perform na asipo perform ni rahisi kumtimua kwa KPIs alizopewa. Na akiiba au akifanya uzembe ni rahisi kumpeleka Mahakamani kwa kuwa Rais unakuwa huna mtu unayemlipa fadhila
 
Halina ubishi teuzi zote za akina Nape Nnauye, Makongoro Nyerere, Januari Makamba, Ridhiwani Kikwette, Halima Bulembo, Maharage Chande, Vita Kawawa na wengineo wengi zilikuwa ni kulipa fadhila kwa wale wanaoitwa "waasisi wa CCM."

Wateule wote hao hapo na wengine wengi lazima waepita kwa JK au Mzee Makamba.

Maadam umekwishalipa fadhila sasa chapa kazi na uisiangalie makunyanzi. Najuwa kuwa wengi wanafanya vibaya na pengine walistahili kuwa Mahakamani wakijibu tuhuma za ufisadi au uzembe lakini unaogopa kuwapekea huko kwa kuwa ni watoto wa waasisi.

Ushauri wangu wa mwisho kwako ili ufanikiwe ni kama ifuatavyo;

1. Rudia mfumo wa zamani uliokuwapo kabla ya 2015 ambapo kazi zinatangazwa magazetini na Watanzania wenye uwezo wanashindanishwa kupitia Bodi then unapata mtu mwenye uwezo ndiyo unamteua baaday ya Bodi na Waziri kukupa took 3.

Kwa namna hii ukimpata CEO bora ata perform na asipo perform ni rahisi kumtimua kwa KPIs alizopewa. Na akiiba au akifanya uzembe ni rahisi kumpeleka Mahakamani kwa kuwa Rais unakuwa huna mtu unayemlipa fadhila
Ni kweli hawa watu anaoletewa kwa vimemo ndiyo wanamuangusha Rais.
 
Halina ubishi teuzi zote za akina Nape Nnauye, Makongoro Nyerere, Januari Makamba, Ridhiwani Kikwette, Halima Bulembo, Maharage Chande, Vita Kawawa na wengineo wengi zilikuwa ni kulipa fadhila kwa wale wanaoitwa "waasisi wa CCM."

Wateule wote hao hapo na wengine wengi lazima waepita kwa JK au Mzee Makamba.

Maadam umekwishalipa fadhila sasa chapa kazi na uisiangalie makunyanzi. Najuwa kuwa wengi wanafanya vibaya na pengine walistahili kuwa Mahakamani wakijibu tuhuma za ufisadi au uzembe lakini unaogopa kuwapekea huko kwa kuwa ni watoto wa waasisi.

Ushauri wangu wa mwisho kwako ili ufanikiwe ni kama ifuatavyo;

1. Rudia mfumo wa zamani uliokuwapo kabla ya 2015 ambapo kazi zinatangazwa magazetini na Watanzania wenye uwezo wanashindanishwa kupitia Bodi then unapata mtu mwenye uwezo ndiyo unamteua baaday ya Bodi na Waziri kukupa took 3.

Kwa namna hii ukimpata CEO bora ata perform na asipo perform ni rahisi kumtimua kwa KPIs alizopewa. Na akiiba au akifanya uzembe ni rahisi kumpeleka Mahakamani kwa kuwa Rais unakuwa huna mtu unayemlipa fadhila
Kabisa, tatizo la nchi hii ni uongozi mbovu inaotokana na kupeana vyeo kama zawadi na bado mama anaendelea kucheza mchezo huu mchafu.
 
Ndio maana tunataka katiba mpya. Katiba ambayo itaondoa madaraka makubwa ya Rais kwa mfano ya kuteua kila kiongozi. Yeye hawajui hawa watu, hivyo watu wanachagua marafiki zao hata wasio na uwezo na kusukuma kwa rais kutangaza. We need competitive recruitment process of these positions, tangazo litolewe, watu wa apply, wafanyiwe interview na wawekwe hapo kwa competitiveness. Na sio kuteua wapambe ndani ya vyama. hapa ndio tumefika kama taifa ndio maana hatusogei.
 
Makamba ni ukoo wa panya.

Mwamvita makamba baada ya kupata deal la maana tanesco akaacha kazi Vodacom.

Makambas ni watu wa hovyo sana wasiofaa kwa lolote, yule mzee wa hovyo mkamba viatu wakuu. Yuko tayari kusema lolote ili mradi kutetea watoto wake.

Samia amefanya jambo jema sana kuondoa ukoo wa panya tanesco.
 
Ndio maana tunataka katiba mpya. Katiba ambayo itaondoa madaraka makubwa ya Rais kwa mfano ya kuteua kila kiongozi. Yeye hawajui hawa watu, hivyo watu wanachagua marafiki zao hata wasio na uwezo na kusukuma kwa rais kutangaza. We need competitive recruitment process of these positions, tangazo litolewe, watu wa apply, wafanyiwe interview na wawekwe hapo kwa competitiveness. Na sio kuteua wapambe ndani ya vyama. hapa ndio tumefika kama taifa ndio maana hatusogei.
Huu mfumo wa kupeana kazi kishkaji bila kutangazwa magazetini ulianza na Magufuli alipokuwa anatumbua watu kisha kuwaweka anaowataka bila kuwapima uwezo
 
Halina ubishi teuzi zote za akina Nape Nnauye, Makongoro Nyerere, Januari Makamba, Ridhiwani Kikwette, Halima Bulembo, Maharage Chande, Vita Kawawa na wengineo wengi zilikuwa ni kulipa fadhila kwa wale wanaoitwa "waasisi wa CCM."

Wateule wote hao hapo na wengine wengi lazima waepita kwa JK au Mzee Makamba.

Maadam umekwishalipa fadhila sasa chapa kazi na uisiangalie makunyanzi. Najuwa kuwa wengi wanafanya vibaya na pengine walistahili kuwa Mahakamani wakijibu tuhuma za ufisadi au uzembe lakini unaogopa kuwapekea huko kwa kuwa ni watoto wa waasisi.

Ushauri wangu wa mwisho kwako ili ufanikiwe ni kama ifuatavyo;

1. Rudia mfumo wa zamani uliokuwapo kabla ya 2015 ambapo kazi zinatangazwa magazetini na Watanzania wenye uwezo wanashindanishwa kupitia Bodi then unapata mtu mwenye uwezo ndiyo unamteua baaday ya Bodi na Waziri kukupa took 3.

Kwa namna hii ukimpata CEO bora ata perform na asipo perform ni rahisi kumtimua kwa KPIs alizopewa. Na akiiba au akifanya uzembe ni rahisi kumpeleka Mahakamani kwa kuwa Rais unakuwa huna mtu unayemlipa fadhila
Hili ni angalizo zuri na kama Samia atacheka na nyani atavuna mabua. Huyo Makamba akimuendekeza ndiye ataharibu U-Rais wake mwaka 2025.

Usijesema HATUKUKUTAARIFU
 
Halina ubishi teuzi zote za akina Nape Nnauye, Makongoro Nyerere, Januari Makamba, Ridhiwani Kikwette, Halima Bulembo, Maharage Chande, Vita Kawawa na wengineo wengi zilikuwa ni kulipa fadhila kwa wale wanaoitwa "waasisi wa CCM."

Wateule wote hao hapo na wengine wengi lazima waepita kwa JK au Mzee Makamba.

Maadam umekwishalipa fadhila sasa chapa kazi na uisiangalie makunyanzi. Najuwa kuwa wengi wanafanya vibaya na pengine walistahili kuwa Mahakamani wakijibu tuhuma za ufisadi au uzembe lakini unaogopa kuwapekea huko kwa kuwa ni watoto wa waasisi.

Ushauri wangu wa mwisho kwako ili ufanikiwe ni kama ifuatavyo;

1. Rudia mfumo wa zamani uliokuwapo kabla ya 2015 ambapo kazi zinatangazwa magazetini na Watanzania wenye uwezo wanashindanishwa kupitia Bodi then unapata mtu mwenye uwezo ndiyo unamteua baaday ya Bodi na Waziri kukupa took 3.

Kwa namna hii ukimpata CEO bora ata perform na asipo perform ni rahisi kumtimua kwa KPIs alizopewa. Na akiiba au akifanya uzembe ni rahisi kumpeleka Mahakamani kwa kuwa Rais unakuwa huna mtu unayemlipa fadhila
Upo sahihi sn, huu mfumo mbovu ndiyo umetufikisha hapa
 
Huwezi fanya kazi na watu uliowapa vyeo kwa kulipa fadhila..hao wakuu bado wana wapenzi wao kina vick kamata..kuna ma RC na ma DC..maded na wengine. Huwezi kuwatoa wakiharibu wala huwezi kuwasema.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Halina ubishi teuzi zote za akina Nape Nnauye, Makongoro Nyerere, Januari Makamba, Ridhiwani Kikwette, Halima Bulembo, Maharage Chande, Vita Kawawa na wengineo wengi zilikuwa ni kulipa fadhila kwa wale wanaoitwa "waasisi wa CCM."

Wateule wote hao hapo na wengine wengi lazima waepita kwa JK au Mzee Makamba.

Maadam umekwishalipa fadhila sasa chapa kazi na uisiangalie makunyanzi. Najuwa kuwa wengi wanafanya vibaya na pengine walistahili kuwa Mahakamani wakijibu tuhuma za ufisadi au uzembe lakini unaogopa kuwapekea huko kwa kuwa ni watoto wa waasisi.

Ushauri wangu wa mwisho kwako ili ufanikiwe ni kama ifuatavyo;

1. Rudia mfumo wa zamani uliokuwapo kabla ya 2015 ambapo kazi zinatangazwa magazetini na Watanzania wenye uwezo wanashindanishwa kupitia Bodi then unapata mtu mwenye uwezo ndiyo unamteua baaday ya Bodi na Waziri kukupa took 3.

Kwa namna hii ukimpata CEO bora ata perform na asipo perform ni rahisi kumtimua kwa KPIs alizopewa. Na akiiba au akifanya uzembe ni rahisi kumpeleka Mahakamani kwa kuwa Rais unakuwa huna mtu unayemlipa fadhila
naunga mkono hoja
P
 
Mimi nakazia..
Naona kama Rais anaelewa elewa kidogo. Jana kamtoa Maharage TTCL na kumpeleka kuwa CEO wa shirika la Posta. Hiyo ndiyo onaitwa "writing on the wall"

Maharage kaa chonjo
 
Back
Top Bottom