nisaidieni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Nisaidieni ushauri kuhusu pesa ya kujikidhi(boom) niliyokuwa naitunza

    Wakuu mdogo wenu nipo njia panda, naomba ushauri wenu. Mimi ni wanafunzi wa mwaka wa tatu hapa Duce nachukua bachelor of science with education biology na geography. (Umri wangu ni miaka 23) Wakuu nimetunza boom toka nipo mwaka wa kwanza hadi sasa na milioni nne na laki Saba kama reserve yangu...
  2. Swahili_Patriot

    Mlionielewa, nisaidieni kutengeneza playlist moja hatari

    Kuna mskaji kanipa mizuka, kanikumbusha mbaaaali saaaana. Aisee embu turudi nyuma kidogo... Crazy gk - sauti ya manka J nature - mtoto idi Ay - yule Fa - unaowa lini, alikufa kwa ngoma, hawajui tulipotoka, natamani, ingekuwa vipi, mabinti, kiboko yangu Mandojo n domo - dingi, taswira, wanoknok...
  3. jay jeff

    Wakazi wa Kirando nisaidieni

    Naomba usaidizi kwa wakaazi wa namenyere kirando na Nkasi nzima. Mimi natokea Kenya. Nipo na jamaa mmoja kutoka eneo ilo niliyetaja niliyekutanishwa naye na Babu mmoja kutoka Holili. Jamaa naona ni kama alinilaghai nilimpea hela anisaidie kufanya kazi fulani mwaka wa 2021 lakini hadi wa sasa...
  4. Mtu Alie Nyikani

    Nina swali kuhusu Elimu ya Secondari ya miaka miwili, nisaidieni majibu

    Habari wakuu. Natumai hali zenu zote ni nzuri. Kwa wale wenye changamoto, Mungu awajalie. Nina swali kuhusu kusoma elimu ya sekondari kwa miaka miwili. Mfumo huu wa Elimu ya Secondary upo hivi yani katka mwaka Mmoja unasoma Madarasa mawili (form 1&2) and next year form 3&4 jumla miaka miwili...
  5. Ghost MVP

    Wadau wa mapenzi nisaidieni hapa, Maji ya shingo

    Kuna dada bhana nampenda sanaa! Tena nampenda kweliii. Wakati tunaanza kuwa pamoja nilimwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa. Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi...
  6. R

    Wanasheria nisaidieni

    Mtu akistaafu (on compulsory retirement) , hawajamlipa stahiki zake time limitation ni ipi to claim that in a court of law? Nijuavyo if UNFAIR termination from employment, time limitation to lodge grievances at CMA is 30 days. What about a retiring person on retirement age?
  7. T

    Msaada wa kuunganishwa ajira. Nina shahada ya ualimu (Hesabu & IT)

    Wakuu, nina degree ya ualimu (kwa masomo ya MATHS & IT). Nimehangaika sana angalau kupata sehemu napoweza kupiga kibarua nipate chochote kitu ila wapi! Naomba kama kuna mtu anaweza kuniunganisha au kunisaidia kupata job afanye hivyo tafadhali. Natanguliza shukrani.
  8. jmratino

    Nisaidieni hospital inayodili na ugonjwa wa uvimbe

    Kama kichwa cha habari kinavyoonyesha baba yangu anasumbuliwa na huo uvimbe, umekua ukimdhoofisha afya yake, tumejaribu mara kadhaa kumpeleka hospital lakini matibabu anayopewa yameshindwa kumponyesha, kwa maelezo yake anasema linavuta kwa ndani kama mtu aliyekulenga na mshale wa sindano...
  9. Trainee

    Kilimo kinatesa sana siku hizi hebu wataalamu nisaidieni tatizo hili kwenye mazao ya chakula

    Zamani nakumbuka ilikuwa mchawi nguvu tu, chochote utakachopanda kinakubali na kinafika Siku hizi sasa mkulima ana vikwazo na maadui kibao! Hebu cheki mtu unalima mazao yako kisha kuna Viwavi Panya Njiwa Ndege Kware Panzi Mchwa Vibaruti Beetle Serikali Majongoo Konokono Halmashauri Mafuriko...
  10. sonofobia

    Leo naenda kula bata Mbezi - Kimara. Nisaidieni viwanja

    Leo nataka nikale bata mazingira ya Mbezi - Kimara. Sehemu nzuri classic yenye music na totoz wasafi wasafi sio machangu. Nile na kunywa na kutengeneza connection. Wenyeji nipeni suggestion ya places nzuri.
  11. Z

    Msaada kujuzwa yafuatayo kuhusu utungwaji wa mimba

    Habarini wana JF, naombeni kuwauliza yafuatayo: 1) Hivi inawezekana mimba kutungwa endapo mwanaume katumia kinga kikamilifu (condom imara aina ya rough rider) na kinga hizo hazikuharibika hata kama mwanamke akiwa kwenye siku za hatari za kushika mimba? 2) Inawezekana kipimo cha ultrasound...
  12. Zekoddo

    Wataalam wa umeme wa solar nisaidieni hapa

    Wakuu naomba mawazo yenu. Nipo Huku Kijijini na umeme wetu hasa ni solar power. Kwenye vifaa vyangu Nina Inverter Ila tatizo la hii inverter ni kwba inatumia sana hali inayopelekea umeme kuishe na taa kushindwa kuwaka. Je, kwa hali ya kawaida ninaweza kuondoa feni ya inverter, ili kupunguza...
  13. R

    Wanasheria nisaidieni

    Kuna mtu ali mortgage shamba lake some 50 yrs back from today. ameshakufa sasa watoto wake wanaingia kwenye shamba na kuchua mazao wakidai ni shamba la baba yao. Nifanyeje? 1. Je kuna limitation on mortgage land? 2. Je as a plaintiff can I use limitation (if it is there) as a sword (as opposed...
  14. C

    Dededege inamtesa sana mwanangu, wakuu nisaidieni dawa

    Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa. Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16...
  15. thegreat1510

    Nisaidieni dawa ya mguu kuvimba

    Wakuu habari Naombeni mnifahamishe hili ni tatizo gani na linatibiwa aje? Asanteni.
  16. G

    Kwa walio kwenye mahusiano nisaidieni na hili

    Je huwa mnafanya nini ili kupunguza stress zinazojitokeza katika mahusiano yenu?🤔🤔
  17. B

    Nisaidieni suala hili kuhusu uanzishwaji wa kampuni hapa nchini Tanzania

    Habari zenu wadau wa JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninaomba nipate maoni yenu kuhusu uanzishwaji wa kampuni hapa nchini Tanzania. Ninataka kuanzisha kampuni ambayo itajikita katika ununuaji na uzalishaji wa bidhaa za kilimo ndani na nje ya nchi. Je ninaweza nikaanzisha kampuni ya...
  18. Supu ya kokoto

    Madaktari na wataalamu nisaidieni

    Nimeoa toka 2020,Mimi na mke wangu tumefanya juhudi mbali mbali za kupata mtoto, lakini mpaka sasa imeshindikana. Mke wangu anaingia period kama kawaida japo sio kwa mzunguko ulio rasmi unabadilika badilika. Anaweza akaingia kwa 28,35,40 sometimes hata 50 days. Mliowahi kuingia kwenye hali kama...
  19. Myebusi Mweusi

    Nisaidieni, najihisi kabisa nimepewa limbwata

    Kuna binti anaishi Msasanu, Uswahilini kule Makangira, huyu dada mwenye watoto 3 nilikutana naye mwaka 2019 siku chache kabla ya XMas. Nilimfahamu miaka mingi nyuma tukisoma enzi hizo Kinondoni Muslim yeye alikuwa mbele yangu madarasa mawili, nilishawahi kumtokea lakini akanikataa enzi hizo...
  20. Roving Journalist

    Ufafanuzi kuhusu Kazi na Majukumu ya Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA CCC)

    UFAFANUZI WA TAARIFA ILIYOCHAPISHWA KWENYE UKURASA WA JAMII FORUM TAREHE 17.03.2019 KUHUSU EWURA CCC Tarehe 17.03.2019 kuna mdau ameandika taarifa inayolenga ama kwa kufahamu ama kwa kutokufahamu kupotosha umma wa watanzania kuhusu kazi na majukumu ya Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za...
Back
Top Bottom