JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
  • Sticky
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992. 2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka...
103 Reactions
2K Replies
466K Views
  • Sticky
Wandugu, Thread hii ni mahususi kwa chochote unachokumbuka enzi unasoma shule ya msingi. Mimi binafsi nakumbuka enzi zile nasoma Issale primary school kule wilayani Mbulu miaka ya 1986-1991...
18 Reactions
460 Replies
91K Views
  • Sticky
~ Got chased by the headteacher and deputy head. A whole crowd of us in school uniform were in one area our school had forbidden to enter, otherwise could result in expulsion. Only 2 were caught...
55 Reactions
721 Replies
193K Views
  • Closed
  • Sticky
Kila jukwaa lina watu ambao wanakuwa ni members ‘zaidi ya wengine' tokana na mapenzi ya kila member. Katika majukwaa yote hili la CC limekithiri tabia za uchochezi na undumilakuwili kwa...
117 Reactions
91 Replies
85K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
311 Reactions
182K Replies
7M Views
Alikuwa akiamini kuwa mapenzi ya dhati ni kama pepo ndogo ya siri tunayoijenga hapa duniani, zawadi adhimu tunayopeana faragha na ambayo haitapatikana mbinguni. Alimwamini mpenzi wake na...
6 Reactions
28 Replies
164 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
128 Reactions
421K Replies
16M Views
https://www.facebook.com/reel/1601310021524839/
6 Reactions
30 Replies
345 Views
Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi? Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo Upeo wetu ni mdogo Hatujakamilika kuwa binadamu kamili Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu Tumekata tamaa...
20 Reactions
273 Replies
2K Views
Usikae kinyonge Usisononeke. Maisha bado yapo na siku hazigandi. Unayopitia walishayapitia wengine wewe si wa kwanza na wala hutakuwa wa mwisho Pita hapa uone pia shuhuda za wengine Changamoto...
31 Reactions
427 Replies
39K Views
4 June 2026 at 10:05 p.m. And when you pray tonight, pray for forgiveness. Release the weight of old wounds and choose peace over pride. Ask God to soften your heart and remind you that healing...
12 Reactions
58 Replies
549 Views
If your Subaru announces its arrival with a loud "pop... bang... bang!", police in the Ssezibwa Region may soon be waiting for you. Authorities have launched an operation targeting Subaru...
1 Reactions
7 Replies
35 Views
Habari za mchana wakuu nina shida na wanafunzi waliomaliza SHULE YA SEKONDARI AMANA ISLAMIC iliyopo MTWARA MJINI nawatafuta wanafunzi tuliohitimu kidato cha sita mwaka 2017 Nawaomba kama wapo humu...
0 Reactions
2 Replies
29 Views
The Weekend - Out of Time
31 Reactions
12K Replies
340K Views
Nimeona Kuna mijadala humu kuhusu jamii forum kuwa na warembo, binafsi Mimi nilisha wahi pata bahati ya kuwaona na nikawachunguza na wakanijua japo sikutaja I'd yangu nawao hawakunitajia I'd zao...
7 Reactions
93 Replies
629 Views
Habari wana JF Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
278 Reactions
431K Replies
20M Views
  • Closed
Wakuu wa JF, naomba dakika chache za muda wenu. Leo naandika kwa unyenyekevu nikitumaini nitapata mtu wa kuniamini na kunipa nafasi ya kuanza upya. Habari zenu wakuu. Kwa kweli nimefikiria sana...
12 Reactions
54 Replies
492 Views
Wandewa, faragha sio uwanja wa mapambano ya ngumi au mbio za mita mia! Ule ni mchezo wa bao la kete—unataka akili, subira, na kucheza kwa kunyata sana. Unalivaa futa utadhani unakamata mwizi wa...
2 Reactions
38 Replies
270 Views
  • Closed
NILIOMBA TSH 20,000 LEO... LAKINI KUNA KITU KIKUBWA ZAIDI NILICHOKIPATA. Leo nimejifunza kwamba maisha yanaweza kukushusha mpaka ukafikia hatua ambayo hukuwahi kufikiria. Unaweza kuamka ukiwa na...
2 Reactions
13 Replies
250 Views
Yaani ni makebo juu ya makebo, tena hadi mtu anakatakiwa usoni kabisaa sura haionekani😁 Ngoja niwahi nyumbani aissee
16 Reactions
38 Replies
994 Views
Wanajamvi nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa JF, Nimekuja hapa kuwajulia hali zenu hasa wadada wale wa enzi ile! Mko hali gani kipindi hicho wadada wa moto? Hebu wa-tag waje hapa...
22 Reactions
855 Replies
9K Views
Wapendwa.. Kwanini Watanzania wanapenda singeli.. kijana ukimpa nyimbo ya boni mwaitege na d voice au malume.. atachagua malume.. hivi hili mnalionaje???
10 Reactions
45 Replies
420 Views
Nimeenda kwa duka nikanunua ice cream mimi sjawai kutumia.nimeuma icecream kama mkate aisee kitu ni baridi.leo ndoh nimejua kuwa inalambwa sio kuumwa.
0 Reactions
2 Replies
40 Views
Back
Top Bottom