nisaidieni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kikoozi

    Wanasheria nisaidieni, Baba Mzazi anazidi kuuza mali

    Habarini za asubuhi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada baada ya baba angu kuuza nyumba yake ya kwanza week 3 zilizopita na kubakisha nyumba moja maeneo ya huku Sinza Mori ambayo ndio tunakaa sasa hivi nayo anataka kuuza, wakati bado watoto wake sisi bado tupo hai tena ususani mtoto wake...
  2. Mtondoli

    Nisaidieni nampenda sana Giggy Money

    Sina mengi nisaidieni kumwambia, nampenda mwambieni nitatoa mahari anayotaka yeye, afu mwambieni ndoa tutafungia Saadani, mwambieni niko tayari na nipo kwa ajili ya kumpa Raha, siitaji kulelewa ila kumlea.
  3. Najaf

    Wakina dada nisaidieni hili, mwenzenu ameona aibu kusema!

    Nina mrembo nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa kipindi fulani. Lakini wakati wakushiriki nae tendo huwa anasema "Nikikaa hivi inachoma choma bwana inachoma". Nikimuuliza unafurahia au unaumia hajibu, anasema we Fanya tu. Hebu naomba mnisaidie hapo inakua Ina maumivu au Raha maana muda mwingine...
  4. D

    Je hii mimba ni yangu ama si yangu, wajuzi nisaidieni.!!

    Mambo vipi wakuu.. Iko hivi huyu bibie nilisex nae tarehe 22/12/2021 ambayo ilikua ni jumatano. Nilipiga kavu tu kwasababu pia hiyo siku nilikua niko monde. Sasa jumapili yaani tarehe 26/12/2021 akasema anajiskia kulala lala na uchovu. Basi ikapita hiyo siku then kesho yake tena akaleta hizo...
  5. moyo wenye aman i

    Natamani kufahamu zaidi kuhusu Jaji Lugakingira

    Katika pitapita zangu nikasikia watu waliokuwa wamekaa kijiweni wakimsifia Jaji aliyekuwa anaitwa LUGAKINGIRA kuwa alikuwa akisimama kidete kwenye nafasi yake bila kufuata maagizo au kuegemea upande wowote. Naomba mwenye CV yake atuwekee hapa tafadhali
  6. R

    Kwa mlio Mwanza tafadhali nisaidieni case law hii

    Ipo kwenye TanzLii lakini kuna some missing pages page no.6 and 13.. Naomba tafadhali kama kuna aliye Court of Appeal Mwanza anisaidie kuniwekea complete judgement. Pia ikiwezekana na High Court Judgement. Please and please IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA...
  7. R

    Wanasheria nisaidieni kuhusu issue hii ya Ardhi na District Council authorities

    1. Je mamlaka za wilaya kama District councils, City/Municipal councils district and Town councils ana mamlaka nyingne za aina hiyo kwenye ardhi zinaruhusiwa kuingia kwenye unsurveyed land na kufanya mapimo kama vile kutenga barabara, au kufanya jambo lolote bila mhusika kuwa consulted? 2...
  8. Mzee Mambo

    Nisaidieni kibarua/kazi

    Habari WanaJF. MIMI ni kijana wa kitanzania, umri miaka 25. Makazi: UBUNGO Dar es salaam Elimu: Shahada ya usimamizi wa majengo na nyenzo. (2021).....Elimu sio kipaumbele changu hapa. Naombeni mwenye connection ya kibarua/kazi anisaidie, ili niweze kukimu majukumu ya familia yangu. Nipo...
  9. R

    Wanataaluma nisaidieni: Kozi hii inahusu nini: Bachelor Of Science In Industrial Engineering And Engineering Management

    I am in dire need to get clarification before making decision where to join Niko kwenye dilema huyu kijana anakwenda kusoma nini na applicability yake kwa Tanzania. Inahusu nini hasa maana siyo pure engineering classical one . Anapata utaalamu gani na position yake katika employment industry...
  10. cyrax

    Nimekwama wapendwa, nisaidieni nipate kibarua

    habari zenu wana JF, nimekuja tena kuomba msaada wa kibarua hali imekuwa ngumu, baada ya kuzunguka kutafuta ajira rasmi ya kufundisha kwenye shule bila mafanikio niligeukia kwenye kazi za vibarua kwenye ujenzi angalau niweze kulipa kodi na chakula hapa mjini Dar es Salaam. Wiki iliyopita...
  11. N

    Natafuta kijana mwenzangu tuchangie kodi ya pango wakati tuna-hustle kutafuta maisha

    Habari Wakuu, Kabla ya yote naomba Nikiri kwamba Hali ya maisha imekuwa tough Sana especially kwa sisi vijana tunaohustle kuanza maisha Bila ya kuwa na blueprint ( ramani) ya kueleweka ya kutupatia regular income hapa mjini. Binafsi ni kijana ambaye nimeamua kung'atuka nyumbani na kuja apa...
  12. Clever505

    Ni jambo la muhimu sana lakini hataki kuniambia ukweli. Nisaidieni...

    Habari zenu wanaJF! Ni hivi, kuna msichana mmoja nilizoeana nae sana kipindi alipokuwa ameolewa. Kuna kipindi ndoa yao iliingia dosari akaachana na mumewe wakiwa na mtoto mmoja, kiufupi huyu msichana hakuwa na kosa la kuachwa Ila mumewe alifanya maamuzi haraka sana ya kumuacha kwa mambo ya...
  13. U

    Naomba kujuzwa gharama za ujenzi wa mashimo ya maji taka kwa mkoa wa Mbeya

    Ninaomba mnieleweshe kuhusu ujenzi wa mashimo ya maji taka (Septic tanks) hapo Jijini Mbeya huwa mnayajengea ndani kwa kutumia nini Kati ya vifuatavyo: 1) Mawe 2) Tofali za kuchoma 3) Tofali za saruji Msaada Tafadhali.Nimeomba wenyeji wa Mbeya mnisaidie kwa sababu nyie ni wazoefu wa hasa udongo...
  14. masopakyindi

    Jamani nisaidieni, huyu dada nimempenda bure!

    Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata. Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo. Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri. Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima. Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru. Mwenye contacts zake naomba anipatie. Serious nimeitazama hii...
  15. Naantombe Mushi

    Nisaidieni mbinu za kupambana na huyu jirani 'mwizi wa umeme'

    Hii nyumba ninayoishi tupo wapangaji watatu kwenye compound moja. Nimehamia hapo huu ni mwezi wa pili unaenda kuisha. Ndani ya hizi wiki chache, nimeona mabadiliko makubwa ya matumizi ya umeme. Mwanzoni ilikuwa natumia wastani wa unit 2.4 kwa siku, ila kwa sasa imepanda mpaka 3.6 kwa siku...
  16. R

    Pdf activation inakataa, nisaidieni

    PDF inakataa kufanya kazi mpaka iwe activated. Nisaidieni nifanyeje iwe activated?
  17. Darucha

    Msaada jinsi ya kuupata wimbo huu wa zamani (zilipendwa)

    Jamani natafuta huu wimbo muda mrefu Bila mafanikio sijui jina lake staili ya uimbaji ni kama ya magic system au papa Wemba ile nyimbo kama sio mkongo aliyeimba Basi ni watu kutokana West Africa au central Africa hii nyimbo inaimbwa kwa mtindo huu naandika Kiswahili. "Kiberenge kinaokoaaaa...
  18. trisha cute

    Sijawahi kuumia kama nilivyoumia hivi sasa nisaidieni

    Habari ndugu zangu! Nimeachana na mtu niliekua nampenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja. Last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia haya...
Back
Top Bottom