Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Kuna dada bhana nampenda sanaa! Tena nampenda kweliii. Wakati tunaanza kuwa pamoja nilimwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?